bahati

David Bahati (born 8 June 1973) is a Ugandan accountant and politician. He is the State Minister of Finance for Planning in the Cabinet of Uganda. He was appointed to that position in a cabinet reshuffle on 1 March 2015, replacing Matia Kasaija. He is a Member of Parliament for the constituency of Ndorwa West in the Parliament of Uganda and is a member of the National Resistance Movement, the ruling party. He is chief of the Scout Board of Uganda.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Sijui ni kwanini GENTAMYCINE huwa sina bahati ya Kupenda Vibovu Vibovu, bali nimebarikiwa tu Kupenda Vizuri kama Vifuatavyo....

    1. Rais bora Kwangu Paul Kagame ( Rwanda ) 2. Mtandao bora Kwangu JamiiForums 3. Timu za Mpira bora Kwangu Simba SC ( Tanzania ), Liverpool FC ( UK ), FC Barcelona ( Spain ), PSG ( France ) na Bayern Munich ( Germany ) 4. Vyuo Vikuu bora Kwangu Saint Augustine University of Tanzania...
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika Suala la Mahusiano kaka yenu sina bahati

    Inaniumiza sana.kila demu ninayempata anakuwa na shida moja tu. Yaani hazipiti siku 2 anaomba pesa. Hii tabia imekuwa kwangu kufanyiwa ni kawaida. Nimepata msichana nikaanza sema moyo ngoja nikae hapa. Tumeonana mara moja kesho yake ananambia simu yake mbovu nimnunulie nyingine. Nlijisikia...
  3. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuolewa imekuwa muujiza au bahati?

    Nipo hapa saloon nimemleta biharusi saloon anaolewa leo kama mjumbe wa kamati kuu 😂😂😂😂 Katika kupiga piga Stori na mwali hapa saloon naona Hadi huruma Money Penny: mkwe wangu, unapenda Mungu Akubariki na watoto wangap? Wa kike au wakiume? Biharusi: mmmh kwakweli hapo sijajua, maana skuhizi...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msioolewa bahati iliyoje hii Mshindi wa 'Tuzo' ya Kimataifa 'amechoka' sasa kuwa 'Single' na anamtafuta Mwenza wake wale Kuku!

    "Panya Magawa yupo 'single' kwa sasa, kwenye vitengo kuna panya maalum kwa ajili ya kuzalishaji na tunawatambulisha kwamba huyu ndiyo mwenzake kama atakubali sawa maana anaweza kukataa na utaona dalili, na kama wamekubaliana utaona dalili za makubaliano yao," Mkufunzi wa Panya Magawa, Pendo...
  5. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Raia Mpenda Misifa: Ukiambiwa umefanana na mtu wa usalama usifurahie. Hiyo sio sifa nzuri. Unaweza ukadhurika kwa bahati mbaya (Mistaken Identity)

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu yangu; Mtanzania Raia Mpenda Misifa: Ukiambiwa umefanana na mtu wa usalama wa taifa usifurahie wala kuchekelea. Hiyo sio sifa njema hata kidogo. Unaweza ukadhurika au kuuwawa kwa bahati mbaya (Mistaken Identity); Huko mtaani mnapoishi...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Naombeni msaada wadau, Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
  7. Restitius Respicius

    JamiiForums Tanzania Changamoto haikimbiwi, inakabiliwa

    Kila changamoto inapokuja kwenye maisha huwa inakuja kwa sababu maalumu na siyo kwa bahati mbaya, kwa hiyo hutakiwi kuikimbia changamoto inayokukabili na badala yake unapaswa kuikabili changamoto yako kwa akili, hekima na utashi wa hali ya juu sana kwa sababu; 1. Kila changamoto inakuja...
  8. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 Maoni huru: Awamu hii Urais wakipata hata kura Milioni 3 wana bahati sana

    Nakitazama hali ilivyo ngumu mtaani, uchumi umekua mgumu kuna mama wanashinda barabarani na nyanya zao na mchicha kutwa nzima hawauzi wanarudisha nyumbani jioni, frame kibao za biashara zimefungwa maeneo mengi, Wafanya kazi wa umma wanalia maslahi duni, mikopo elimu ya juu kizungumkuti mitupu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

    WanaJF Inakuwaje! Bayern Munich wanabahati na kushukuru beki matata na Machachari raia wa ufaransa mwenye asili ya Cameroun Samuel Umtiti hakuwepo uwanjani dhidi yao kwenye robo fainali ya Uefa championship league. Umtiti ambaye hakusafiri na wenzake Lisbon kwa kukutwa na Corona nakujiself...
  10. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Askofu Kalikawe Bagonza: Uongozi na Uwanaharakati bahati mbaya unafunikwa na Propaganda za Kuelimishana

    UONGOZI na UANAHARAKATI Kuna mjadala mzuri unaendelea kuhusu UONGOZI na UANAHARAKATI. Bahati mbaya unafunikwa na propoganda na kupoteza fursa ya kuelimishana. Wapo wanaoponda uanaharakati kwa kudai wanaharakati si viongozi. Kundi la pili linatukuza uongozi kuwa hauna uanaharakati. Mimi...
  11. GeoMex

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar es Salaam bahati yenu😄😄

    Mshukuru sana Mungu jamaa kapumzika😄😄😄😄
  12. mbinguni

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

    Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu, Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Tafakuri: Ukizaliwa binadamu kwenye hii dunia basi huna bahati, utajiri sio suluhisho la kudumu

    Ukizaliwa binadamu, ujue mateso, umaskini, njaa, kuumizwa kihisia, magonjwa ndo yanakusubiri. Ukiwa tajiri kuanzia kuzaliwa hadi kufa kwako basi kama una dhambi, jehanamu ya moto inakusubiri ili uchomeke milele. Haya mateso tunayopitia hapa duniani naona kama hayana ulazima, kwa sababu kama...
  14. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mtoto Bahati Cornel wa Umbwe primary school amepotea. Yupo Polisi Kawe

    Mtoto Bahati S/o CORNEL, Mchaga, 8 yrs old, M/Funzi Umbwe primary school, Darasa la tano. Mtoto huyu yupo hapa police Kawe ambapo alijieleza kuwa amepotea, alikuja jijini DSM akitokea mkoani Kilimanjaro ambako ndiko anakoishi na Baba yake Mzazi aitwae CORNEL JOSEPH MASAWE, ambae anafanya kazi...
  15. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya katika siasa ya Bongo

    Wanabodi, Kwanza hakuna kitu kinatokea kwenye siasa kwa bahati mbaya. Kila kitu hupanga na wenye akili "Elites" ambao wengi wao hawapo kabisa kwenye siasa ila ndio wanaamua siasa. Ukiona siasa ya Mkapa,Kikwete na leo JPM ujue wao wenye siasa yao wameamua kuifinyanga iwe hivyo unavyoiona leo...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kuombwa kitu na ndugu, jamaa au rafiki akiwa mgonjwa bahati mbaya akafa haujamtimizia?

    Nikiwa kwenye mtihani wa taifa kidato cha pili, baba alisafiri kwenda kijijini ambako mama yake ambaye ni bibi yangu alikuwa anaumwa sana.Huyu bibi alikuwa ananipenda sana. Bahati mbaya wakati anaumwa sana na kuzidiwa alikua anahitaji anione kabla hajafa. Kama ujuavyo mabibi wanavyopenda...
  17. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuajekuaje kati ya mamilioni ya watu, unaibuka kupata bahati ya kuwa Rais wa Nchi?

    Bado najiuliza ni bahati iliyoje kati ya mamilioni ya watu MTU mmoja tuu unapata bahati ya kuwa rais wa Nchi,cheo ambacho unaweza kuwataka watu wote wasitoke majumbani,ukiagiza ghorofa lijengwe linajengwa japo litachelewa, Mliosoma history za viongozi mtujuze makuzi ya watu hawa huwa yakoje...
  18. britanicca

    JamiiForums Tanzania Tukipaswa kuandaa kizazi cha kurithi madaraka, Kwa bahati mbaya Madaraka yakakirithi kizazi

    Tumetegemea sana vijana na wakaimu kuyarithi madaraka kwa kufuata taratibu na sheria zote, Je wanaotegemewa wanaweza kazi za mabosi wao? Kwa bahati isiyo nzuri Madaraka yenyewe ndo yanawaendesha wanaorithi, Tukichagua msaidizi tuwe sure kwamba ataweza kusimamia Majukumu sawa na boss wake kama...
  19. covid 19

    JamiiForums Tanzania Kwenu Sekritarieti ya Ajira - Utumishi: Fanyieni kazi hili wazo maana ajira za serikali sio bahati na sibu au sandakalawe

    lengo la kuanzishwa kwa kitengo hichi ndani ya utumishi ni kuhakikisha nafasi za kazi zinazotolewa na serikali na taasisi zake zinapatiwa wahusika kwa haki sawa maan binafsi nionavyo ajira sio bahati na sibu au sandakalawe ni haki ya kila mtanzani mwenye sifa sitahiki. Kuna system yenu mnaiita...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Mtazamo mpya wa dunia kuhusu Corona ni kuwa dunia imefikia breaking point; vizuizi vitaondolewa, watakaokufa watakufa, watakaopona watapona

    Imeonekana kwamba lockdown ya Corona inasababisha athari kubwa sana za kiuchumi duniani. Watu wanapoteza kazi, kampuni zinakufa, serikali zinakosa mapato nk. Ni dhahiri sasa kwamba lockdown zinatikisa hata mataifa makubwa kama Marekani kiuchumi - na ndio maana hata Tanzania imeepuka sana kuweka...
Back
Top Bottom