Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Nakitazama hali ilivyo ngumu mtaani, uchumi umekua mgumu kuna mama wanashinda barabarani na nyanya zao na mchicha kutwa nzima hawauzi wanarudisha nyumbani jioni, frame kibao za biashara zimefungwa maeneo mengi, Wafanya kazi wa umma wanalia maslahi duni, mikopo elimu ya juu kizungumkuti mitupu kuna vijana wanalia hawana ada.
Lawama zote ni kwa serikali ya CCM ambayo iliahidi maisha bora kwa watanzania wote na matokeo yake watu wamejikuta katika hali ngumu ya maisha. Wananchi hawa wapo tayari kwa mabadiliko ya kiutawala, sasa kumbe shida siyo Magufuli ni CCM yake.
Aliyofanya JPM tunamshukuru sana anaweza kupumzika akamwachia mwingine kijiti aendelee. Aliyofanya ni makubwa sana na ni fahari kwa nchi historia yake itakumbukwa. Ni mwanzo mzuri kwa mrithi wake.
Wapinzani wakiungana wote wenye nguvu CCM ipo pekee yake hata kura milion 3 hakiwezi kupata. Watu wamechoka wanataka kuona changes za kweli zenye kuleta neema kwa nchi yetu. Wakiungana wapinzani na wanajiandaa bila uoga kusimamia ushindi wao wa haki basi CCM chalii. Tuliona KANU ya Kenya ilivyodondoshwa collaboration ya vyama vya siasa chini ya Mwai Kibaki
Lawama zote ni kwa serikali ya CCM ambayo iliahidi maisha bora kwa watanzania wote na matokeo yake watu wamejikuta katika hali ngumu ya maisha. Wananchi hawa wapo tayari kwa mabadiliko ya kiutawala, sasa kumbe shida siyo Magufuli ni CCM yake.
Aliyofanya JPM tunamshukuru sana anaweza kupumzika akamwachia mwingine kijiti aendelee. Aliyofanya ni makubwa sana na ni fahari kwa nchi historia yake itakumbukwa. Ni mwanzo mzuri kwa mrithi wake.
Wapinzani wakiungana wote wenye nguvu CCM ipo pekee yake hata kura milion 3 hakiwezi kupata. Watu wamechoka wanataka kuona changes za kweli zenye kuleta neema kwa nchi yetu. Wakiungana wapinzani na wanajiandaa bila uoga kusimamia ushindi wao wa haki basi CCM chalii. Tuliona KANU ya Kenya ilivyodondoshwa collaboration ya vyama vya siasa chini ya Mwai Kibaki