BARAKA HUTOKA KWA BABA, LAANA HUTOKA KWA MAMA! UTAAMUA MWENYEWE!
Anaandika, Robert Heriel,
Mwanafalsafa.
Utaamua mwenyewe, utapima na kuamua maisha yako mwenyewe.
Baba ndiye mungu wa dunia, utake usitake, Mama ni msaidizi wa Baba upende usipende. Endapo hili halitatokea maisha ya mtoto huwa...