MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Salaam,
Kwa kweli sijapenda hawa wapigania uhuru kutoka Namibia, Msumbiji, Zimbabwe kutuachia watoto wasiojua baba zao, leo siku ya mashujaa kuna kambi kule Mtwara ni huruma.
Mama mmoja anajieleza walivyokuwa wanatongozwa na kuvalishwa magwanda ili waingie makambini.
NB: Tunaomba zoezi la sensa lituletee data kamili tuwatafutie ndugu zao.
Kwa kweli sijapenda hawa wapigania uhuru kutoka Namibia, Msumbiji, Zimbabwe kutuachia watoto wasiojua baba zao, leo siku ya mashujaa kuna kambi kule Mtwara ni huruma.
Mama mmoja anajieleza walivyokuwa wanatongozwa na kuvalishwa magwanda ili waingie makambini.
NB: Tunaomba zoezi la sensa lituletee data kamili tuwatafutie ndugu zao.