Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,304
- 14,176
Nina siku ya 4 hapa A-town almaarufu Arachuga ila katika zunguka zunguka yangu mitaani sioni watoto wakicheza michezo hiyo zaidi ya playstation. Jamani wazazi nitoe wito au rai kwenu huu mchezo ni muhimu sana kwa jamii yetu, acheni uzungu wa kuwapa watoto michezo ya playstation na kwenye simu.
Maana sisi ndio imetukuza na jana nimemuona mzazi akimchapa mwanawe kisa ameenda kucheza ukuti ukuti wa nani wa nani, kagongwa na gari, tumpeleke mnazi mmoja...
Leo nitaandaa mchezo wa kula mbakishie baba wale wa Arusha mkuje tuungane kuucheza ili michezo yetu ya kiafrika isipotee jamani! Na pia msiwafungie huko geti kali mnawaaribu kisaikolojia.
Maana sisi ndio imetukuza na jana nimemuona mzazi akimchapa mwanawe kisa ameenda kucheza ukuti ukuti wa nani wa nani, kagongwa na gari, tumpeleke mnazi mmoja...
Leo nitaandaa mchezo wa kula mbakishie baba wale wa Arusha mkuje tuungane kuucheza ili michezo yetu ya kiafrika isipotee jamani! Na pia msiwafungie huko geti kali mnawaaribu kisaikolojia.