Hali si nzuri najua wengi hawatanielewa
Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao
Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji uongozi ukalazimisha hizo hela zipelwkqw kwenye acc yao wao wataamua nn cha kulipia
Ile ilikuwa na saini...
Watanzania wengi ni wapenzi wa michezo haswa Soka, lakini pia ni washabiki wa timu za taifa na vilabu vilevile haswa Simba, Yanga na Azam.
Watanzania hupenda burudani ya mpira kwa kutazama uwanjani, kwenye Tv au kusikiliza redioni.
Leo Novemba 23, Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa upande wa...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Leo baada ya Mechi ya CECAFA WOMEN CHALLENGE CUP baina ya Djibouti v.s Uganda, Tumzo alimhoji mfungaji bora wa Uganda.
Kumhoji mchezaji baada ya mechi ni suala la kawaida isipokuwa dukuduku langu limetokana na haya yafuatayo:
1. Tumzo alitumia lugha ya...
Nilikuwa wiki mbili Zanzibar niliyaona ni hatari sana kwa heshima ya Tanzania. Forodhani Hotel imejaa wahuni watoto wadogo street boys leo hii wanaona wazungu wamekaa wanaomba kila mtu. Haitoshi wanapigania chakula wanachopewa na wazungu, inahuzunisha sana.
Wakati haya yakiendelea nje ama...
Toka jana mchana visimbuzi au visimbusi? vya Azam na DStv vimegoma. Message ni ya aina moja. Smart Card haijakaa vizuri.
Sijui kama kuna wengine wamepata tatizo hili na ufumbuzi wake umekuwaje.
Habarini wanajamvi,
Hivi kwanini mechi kati ya Simba na Azam ilihamishiwa Uwanja wa Taifa ilihali mechi za Simba zilikuwa zikichezwa Uhuru?
Je, kuanzia sasa mechi zote za Simba zitachezwa Taifa?
Naomba kufahamishwa.
Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!
Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua!
.... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.