azam

  1. B

    Kocha wa Young Africans alia mchezo na Azam FC

    January 18, 2020 Dar es Salaam, Tanzania Azam 1 - Young Africans 0 Kocha wa mkuu wa Yanga mbelgiji Luc Eymail atokwa povu na kulia kufuatia vipigo ktk mechi mfululizo. Na matokeo ya leo Kocha Luc Eymail baada ya mechi ametoa tuhuma nyingi zikiwemo kupewa kadi ya njano, yeye kocha kufanyiwa...
  2. J

    Live ITV: Rais Magufuli anafungua Hotel ya Verde Azam Luxury Resort & SPA mtoni jijini Zanzibar inayomilikiwa na S S Bakhresa

    Ni tukio kubwa na la kihistoria kwani hii ni hoteli ya kipekee kabisa nchini Tanzania, Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara. Karibuni!
  3. hp4510

    Wanachokifanya Azam Tv kwa kweli sio busara

    Azam tv nilitegemea wao wangekuwa watu smart kuliko kampuni zingine zote but kwa sasa naona wao ndio wamekuwa worse kabisa Nimelipa kifurushi tangu juzi kabla hakijaisha coz nilijua kinaisha jana, lkn mpaka leo hii pesa imekatwa na kisimbuzi hakionesha, hakuna taarifa yoyote, huduma kwa wateja...
  4. CORE i15

    Azam TV jirekebisheni kwenye suala la huduma kwa wateja

    Niende moja mwa moja kwenye pointi. Kampuni ya Azam Media ni kati ya kampuni ambazo zinahitaji marekebisho makubwa sana kwenye idara ya huduma kwa wateja. Kwanza kabisa mteja kwao si mfalme kabisa yaani wanatreat wateja kama vile wanatoa huduma yao bure. Ni siku ya pili sasa ukijaribu kulipia...
  5. Pdidy

    Wanayanga Tarehe 4 tusiende Uwanja wa Taifa tutaondoka na aibu ushauri tu, wajanja tukutane Azam

    Hali si nzuri najua wengi hawatanielewa Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji uongozi ukalazimisha hizo hela zipelwkqw kwenye acc yao wao wataamua nn cha kulipia Ile ilikuwa na saini...
  6. T

    Huu ni udhaifu wa TFF kupandanisha timu ya taifa, Simba na Azam

    Watanzania wengi ni wapenzi wa michezo haswa Soka, lakini pia ni washabiki wa timu za taifa na vilabu vilevile haswa Simba, Yanga na Azam. Watanzania hupenda burudani ya mpira kwa kutazama uwanjani, kwenye Tv au kusikiliza redioni. Leo Novemba 23, Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa upande wa...
  7. T

    Tumzo Karugira wa Azam TV ni raia wa nchi gani?

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Leo baada ya Mechi ya CECAFA WOMEN CHALLENGE CUP baina ya Djibouti v.s Uganda, Tumzo alimhoji mfungaji bora wa Uganda. Kumhoji mchezaji baada ya mechi ni suala la kawaida isipokuwa dukuduku langu limetokana na haya yafuatayo: 1. Tumzo alitumia lugha ya...
  8. BASIASI

    Serikali ya Zanzibar dhibitini hawa street boys Forodhani Hotel, mtakosa mapato sana

    Nilikuwa wiki mbili Zanzibar niliyaona ni hatari sana kwa heshima ya Tanzania. Forodhani Hotel imejaa wahuni watoto wadogo street boys leo hii wanaona wazungu wamekaa wanaomba kila mtu. Haitoshi wanapigania chakula wanachopewa na wazungu, inahuzunisha sana. Wakati haya yakiendelea nje ama...
  9. M

    Naomba kujua bei ya king'amuzi cha Azam

    Naomba kujua bei ya king'amuzi cha Azam TV, kwa Dodoma na Singida.
  10. Sibonike

    Tatizo visimbuzi Azam na DStv

    Toka jana mchana visimbuzi au visimbusi? vya Azam na DStv vimegoma. Message ni ya aina moja. Smart Card haijakaa vizuri. Sijui kama kuna wengine wamepata tatizo hili na ufumbuzi wake umekuwaje.
  11. H

    Kwanini mechi ya Simba vs Azam ilichezwa Taifa?

    Habarini wanajamvi, Hivi kwanini mechi kati ya Simba na Azam ilihamishiwa Uwanja wa Taifa ilihali mechi za Simba zilikuwa zikichezwa Uhuru? Je, kuanzia sasa mechi zote za Simba zitachezwa Taifa? Naomba kufahamishwa.
  12. M

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania! Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua! .... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
Back
Top Bottom