GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,524
- 108,797
Tamko la mwisho la Azam FC kwenda kwa Yanga FC kama wanamtaka Mchezaji Wao Abubakary Salum 'Sure Boy' ni hili hapa.....
" Leteni Tsh Milioni 70 Cash na mtupe Mchezaji wenu wa Kiungo tegemeo Feisal Salum Fei Toto tuwapeni Sure Boy hamtaki acheni na tusisumbuane "
Kudadadeki 'Ubaya Ubayani' tu.
Kwa wale wana Simba Sports Club msikae mbali na Mitandao au na Redio zenu kwani huenda kuanzia Saa Nane ( 8 ) Mchana BM akatambulishwa.
" Leteni Tsh Milioni 70 Cash na mtupe Mchezaji wenu wa Kiungo tegemeo Feisal Salum Fei Toto tuwapeni Sure Boy hamtaki acheni na tusisumbuane "
Kudadadeki 'Ubaya Ubayani' tu.
Kwa wale wana Simba Sports Club msikae mbali na Mitandao au na Redio zenu kwani huenda kuanzia Saa Nane ( 8 ) Mchana BM akatambulishwa.