Mpira wetu ni semi- professional, yaani bado ni vuluvulu. Kumzuia mchezaji anayetaka kuondoka hakuisaidii club wala mchezaji. Kama akicheza chini ya kiwango kwenye club yako majibu utakuwa nayo tayari hata kama sababu siyo hiyo.
Wapi Sure Boy alisema anataka kuhama au wewe unasikiliza tu hawa waandishi wa mlungula? Jana ulimsikia mwenyewe akisema hana mpango wa kuhama alafu wewe unakuja na singeli zako.
kavulata,
Yanga bwana, wameandika barua inayoonyesha kwamba Sure Boy ndio ameandika kuomba kuondoka Azam, halafu wakampa mesenja aipeleke, ina tarehe ya kesho yake.
Sure Boy ameikana barua kwamba wala yeye hajaandika, na wala hata haieleweki kwa nini Yanga waandike barua kwa niaba ya mtu mwingine!
Ila nahisi mesenja hakuelewa, labda aliambiwa ampelekee Sure Boy, yeye akaipeleka ofisini 😁😁😁
Hakuna vya dezo mmetajiwa dau mkafeli sasa nini kimezuiwa hapo? Unakumbuka ishu ya PC kati ya liver na Barca? Unajua liver walikunja mkwanja kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.