Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,037
Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
2484720_IMG_20200812_210919_642.jpg


EQ.jpg

Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Muda huu saa 20:16

Tetemeko la ardhi limepita Hapa mkoani morogoro "

Ni saa mbili na dakika 16, nikiwa nimejilaza ndani ghafla kitanda kikaanza kutikisika kwa nguvu, ardhi inavibrate, nikatoka speed, ile nmefika tu mlangoni naona wapangaji wenzangu wanatoka mbio huku tukiwa hatusemeshani.

Limedumu kwa dakika kama moja hivi.

Vipi huko kwenu ?
 
Back
Top Bottom