Msaada tafadhali wa hili la ardhi

sacred wall

JF-Expert Member
Aug 9, 2017
804
1,318
Nina kipande cha ardhi. Ni unsurveyed nilinunua kwa mtu. Nikaenda kucheki status yake ardhi, nikakuta humo kuna ramani za open space, Msikiti, Kanisa, Soko etc. eti sehemu hizo zimeshakuwa marked for those activities. Mwenye eneo anasema hajawahi kupimiwa na hajui nani alifanya hayo.

Nataka kujenga maana nilinunua kwa madhumuni fulani. Sheria inanilindaje na eneo langu kuvamiwa na hawa Halmashauri?
 
Nina kipande cha ardhi. Niunsurveyed nilinunua kwa mtu. Nikaenda kucheki status yake ardhi nikakuta humo kuna ramani za open space, Msikiti, Kanisa, Soko etc. eti sehemu hizo zimeshakuwa maeked for those activities. Mwenye eneo anasema hajawahi kupimiwa na hajui nani alifanya hayo!
Nataka kujenga maana nilinunua kwa madhumuni Fulani.
Sheria inanilindaje na eneo langu kuvamiwe na hawa halmashauri ?
Nikushauri siku nyingne usinunue eneo lolote hasa mjini especially DAR na miji mikubwa bila kuwashirikisha watu wa ardhi kwamaana ya kwenda kuangalia eneo unalotaka kununua limepangiwa matumizi gani.Kwa kesi yako inawqezekana kuna mtu alikuwa anahitaji eneo lake lipimwe hivyo akaamua kuchora mchoro ambao maeneo mengine ya jiran zake akaweka matumizi hayo unayoyasema ikiwemo open space. Kama mchoro huo umekwisha pitishwa ni ngumu sana kubadilisha hayo matumizi kuyafanya yawe makazi.

Ushauri wangu kama mwenye eneo hakulipwa fidia wala hjawahi kushirikishwa kwenye uandaaji wa hiyo michoro wewe jenga hivyohivyo watu kibao wanaishi kwenye open spaces sinza mpaka posta
 
Nikushauri siku nyingne usinunue eneo lolote hasa mjini especially DAR na miji mikubwa bila kuwashirikisha watu wa ardhi kwamaana ya kwenda kuangalia eneo unalotaka kununua limepangiwa matumizi gani.Kwa kesi yako inawqezekana kuna mtu alikuwa anahitaji eneo lake lipimwe hivyo akaamua kuchora mchoro ambao maeneo mengine ya jiran zake akaweka matumizi hayo unayoyasema ikiwemo open space. Kama mchoro huo umekwisha pitishwa ni ngumu sana kubadilisha hayo matumizi kuyafanya yawe makazi.

Ushauri wangu kama mwenye eneo hakulipwa fidia wala hjawahi kushirikishwa kwenye uandaaji wa hiyo michoro wewe jenga hivyohivyo watu kibao wanaishi kwenye open spaces sinza mpaka posta
Halafu matokeo yake baadaye yatakuwaje?
 
Nikushauri siku nyingne usinunue eneo lolote hasa mjini especially DAR na miji mikubwa bila kuwashirikisha watu wa ardhi kwamaana ya kwenda kuangalia eneo unalotaka kununua limepangiwa matumizi gani.Kwa kesi yako inawqezekana kuna mtu alikuwa anahitaji eneo lake lipimwe hivyo akaamua kuchora mchoro ambao maeneo mengine ya jiran zake akaweka matumizi hayo unayoyasema ikiwemo open space. Kama mchoro huo umekwisha pitishwa ni ngumu sana kubadilisha hayo matumizi kuyafanya yawe makazi.

Ushauri wangu kama mwenye eneo hakulipwa fidia wala hjawahi kushirikishwa kwenye uandaaji wa hiyo michoro wewe jenga hivyohivyo watu kibao wanaishi kwenye open spaces sinza mpaka posta
Hakuwahi kulipwa fidia wala kushirikishwa. His customary title still holds nadhani.
 
Kwa wale wapimaji waliosajiliwa anaweza kwenda kwenye ofisi ya Mipango Miji katika Halmashauri husika akakuombea amendment kwenye mchoro mkubwa ili kubadilisha matumizi ya hicho kipande chako cha ardhi na kua makazi/biashara badala ya hiyo open space. Hilo ni jambo lipo, linawezekana na linafanyika siku zote

Sikushauri ufanye maendelezo yoyote kabda ya kuomba kibali na kuruhusiwa kubadilisha mchoro wa mpango mkubwa wa mji(master plan) kwani iwapo itakataliwa na huku umeshaendeleza eneo, utakua katika hatari ya kuvunjiwa na kuingia hasara
 
ASANTE KWA USHAURI MURUA, SIJENGI KATU. Nimongea na aliyeniuzia kama nilvyosema hapo juu, hakuwahi kuona watu wanapima (ninamuamini), hivyo hajawahi kulipwa fidia. Mamlaka wanayatoa wapi ya kuingia eneo la mtu na kupima? Hivyo viwanja walivyotenga vya makanisa, misikiti nani atavilipia na lini? Nifanyeje?
 
ASANTE KWA USHAURI MURUA, SIJENGI KATU. Nimongea na aliyeniuzia kama nilvyosema hapo juu, hakuwahi kuona watu wanapima (ninamuamini), hivyo hajawahi kulipwa fidia. Mamlaka wanayatoa wapi ya kuingia eneo la mtu na kupima? Hivyo viwanja walivyotenga vya makanisa, misikiti nani atavilipia na lini? Nifanyeje?
nikuambie kitu ambacho hujawahi kusikia,ni kwamba maeneo mengi ambayo yamekuwa surveyed,process zote za umilikishaji ardhi hazikufuatwa kwa 100%,so hata hapo kwenye hicho kiwanja chako inawezekana kuna mtu kafanya aliyoyafanya kalipima eneo lote hilo ambalo kiwanja chako kimo ndani,na kwa mujibu wa ramani ya mipango miji eneo husika eneo lako ni open space.kiushauri watafute na majirani zako kadhaa,pamoja na aliyekuuzia eneo muangalie nani aliyepima hilo eneo,na alipitia process zipi kujimilikisha hilo eneo na hatimaye kupima na kupata hati,hilo tatizo linawezekana siyo la kwako peke yako katika eneo hilo,ila wewe pekee ndiye uliyebaini sababu umefuatilia.NB:hati inaweza kufutwa ikiwa upatikanaji wake ni batili,fuatilia zaidi
 
nikuambie kitu ambacho hujawahi kusikia,ni kwamba maeneo mengi ambayo yamekuwa surveyed,process zote za umilikishaji ardhi hazikufuatwa kwa 100%,so hata hapo kwenye hicho kiwanja chako inawezekana kuna mtu kafanya aliyoyafanya kalipima eneo lote hilo ambalo kiwanja chako kimo ndani,na kwa mujibu wa ramani ya mipango miji eneo husika eneo lako ni open space.kiushauri watafute na majirani zako kadhaa,pamoja na aliyekuuzia eneo muangalie nani aliyepima hilo eneo,na alipitia process zipi kujimilikisha hilo eneo na hatimaye kupima na kupata hati,hilo tatizo linawezekana siyo la kwako peke yako katika eneo hilo,ila wewe pekee ndiye uliyebaini sababu umefuatilia.NB:hati inaweza kufutwa ikiwa upatikanaji wake ni batili,fuatilia zaidi
asante sana tena sana. Nimehangaika nikapata kesi kidogo inayohusiana na scenario yangu. Nitaiweka hapa kwa faida yako!
 
Back
Top Bottom