amani

Amani High School, also known in German as Amani-Oberrealschule Kabul, (Dari: لیسه عالی امانی‎) is a school in Kabul (District 10), Afghanistan. From the time of its foundation in 1924 until 1985, Amani High School was recognized as one of the elite schools in Kabul and received direct support from Germany, which helped to provide qualified staff. German was not only taught as a foreign language, but also was the teaching language in the higher classes in most subjects, being taught by qualified German teachers. The school is under the control of the Afghan Ministry of Education.
After the US invasion in late 2001, the buildings had been looted and partially destroyed. Reconstruction began with German help in spring 2002. The German support has resumed, which was suspended during the reign of the Taliban from 1996 to 2001. German teachers once again came to Afghanistan to teach. However, German is now only taught as a foreign language. Classes in all other subjects are held in Dari. The school teaches children from class 1 to 12. Up to 4th grade the classes are coeducational. From 5th to 12th only boys are allowed.
Amani High School has two big courtyards, a mosque, a sports field with a football court, two basketball courts and stands. There are modern laboratories for the science departments: Biology, Chemistry and Physics. The classrooms are furnished with tables and chairs, which is not taken for granted in Afghan schools, even in the capital Kabul.
A ceremony to celebrate Afghanistan's return to education was held at the school, attended by interim Afghan leader Hamid Karzai. In 2007 Angela Merkel visited during her trip to Afghanistan.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Nachagua amani na utulivu,maandamano ni ujinga.

    Wakuu...! Tusemezane ukweli....! Maandamano Kwa ajili ya nini? ili iweje? Kwa nini mpaka tuhamasishwe kuandamana kama kweli tunahitaji maandamano yaliyobeba ajenda? Binafsi nimechagua amani na utulivu kuliko ujinga huo,na ninakushauri na wewe uchague njia hiyo. Tuachaneni kutumika kwenye...
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Tumetenga milioni mia kwa ajili ya kuhamasisha Amani ,Ahsante Raisi wetu kwa kuliona hili hitaji la kila mmoja .

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 100 kwa ajili ya kuwazawadia wananchi watakaotoa taarifa sahihi zitakazosaidia kubaini na kuzuia vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano kati ya...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo aibukia suala la Maridhiano na Amani, adai Haki ndio Msingi wa yote

    Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa kila mtu anahitaji kuona taifa lenye misingi imara ya maridhiano, amani na upendo, hata hivyo ili hayo yote yafikiwe amesema inahitajika kuwa na msingi wa haki. "Mtu yeyote anayehubiri amani...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Amani Kwanza

  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Neno Amani kilicho na kichaka chenye vivuli viovu vya CCM

    Sijawahi kusikia CCM kazungumzia neno haki.Wao ni Amani tu. Hii Amani imekuwa kichaka cha CCM kuaminisha watu huku wakijua haki hakuna na wafanyao sio haki. Neno haki limekuwa likikwepeshwa sana sababu wakilisema litawavua nguo kwa matendo yao yanayo minya haki. Haki imekuwa mwiba kwao.
  6. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Masoud Amour: Si kwamba wazanzibari tunabaguliwa katika ajira lakini ziko ajira hatuzitaki wenyewe

    Mwakilishi wa Amani, Masoud Amour Masoud (CCM) akielezea masuala ya ajira na fursa za Muungano kwenye Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Juni 18, 2026. "Si kwamba wazanzibari tunabaguliwa katika ajira lakini ziko ajira hatuzitaki wenyewe." "Ukiambiwa kuna ajira hoteli ya mtoto wako wa kike eh ya...
  8. Room 28

    JamiiForums Tanzania Israel imeukataa na kuupinga mkataba wa amani wa iran na US! Inasema itaendelea kuwabomoa hezbollar na Iran

    Hii inatupa picha gani?? Wapambe wa iran wanaamini israel ilipigwa vibaya sana katika ile vita? Lakini kama ni hivo mbona bado hawataki vita isimame wala iishe?? Nadhani kina zungu kuna kitu wanaficha
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwandambo: Naona Watanzania tumeichoka amani tunataka tuingie kwenye vurugu kwa kuwasikiliza wachochezi

    Clemence Mwandambo ametoa kauli kali akidai kuwa baadhi ya Watanzania wamefikia hatua ya kuichoka amani na badala yake wanaelekea kutaka vurugu kwa kusikiliza watu anaowaita wachochezi. Naona Watanzania tumeichoka amani. Yaani hatuitaki amani... tunataka tuingie kwenye vurugu kwa kuwasikiliza...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Atakaye Jaribu Kuandamana Atajuta na Kuilaani Siku Aliyozaliwa. Amani Na Usalama Wa Taifa ni Lazima Vilindwe kwa Jasho na Damu ili Visitoweke

    Ndugu zangu Watanzania, Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na Usalama kwa jasho na Damu. Tangu enzi na Enzi tokea kuumbwa kwa Ulimwengu Huu Usalama wa Himaya ama...
  11. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Bunduki hajawahi kuleta Amani Chalamila aache kukurupuka

    Kama taifa tuna hasara kubwa sana tena kubwa. Viongozi wenye busara na maono hawapo kabisa. Chalamila alichoongea ni lugha ya hovyo kabisa ambayo haina weledi ndani yake. huwa anaropoka tu bila kujua hata anachoongea. Kimsingi hawa watu wamejawa kiburi. yaani hawatafanywa chochote na yeyote...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Amani Iliyofichwa na Ukimya wa hofu si ya kweli

    Kulikuwa na mji ambao wananchi wake walianza kudai haki zao. Walitaka huduma bora, usawa, na sauti yao isikike. Lakini badala ya kusikilizwa, wanasiasa walipanda majukwaani na kusema: “Msilete fujo… amani ni bora kuliko yote.” “Wanaodai haki si watu wa maendeleo… ni wavurugaji.” “Hawa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hatari ya Mitandao ya Kijamii kwa Amani na Utulivu wa Tanzania

    Mitandao ya kijamii imefungua milango mikubwa kwa mawasiliano na uhuru wa kujieleza, lakini Tanzania inakabiliwa na hatari halisi inapoteza udhibiti wa jinsi vijana wanavyotumia jukwaa hili. Tatizo kubwa si mitandao yenyewe, bali ni matumizi yasiyowajibika yanayoweza kulipua amani tuliyoijenga...
  14. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Tudumishe amani Tanzania video

    https://youtube.com/shorts/iz-L9D8Tvug?si=Hj5zabg1oScnBzUu
  15. alpha walk

    JamiiForums Tanzania Huduma za uhakika za ulinzi

    Kulinda kile unachokithamini ndiyo kipaumbele chetu. 💯 Chagua ubora, chagua teknolojia, chagua amani ya moyo. 📞 0622667749 #SmartEyeSecurityServices #YourSafetyOurPriority #SecurityExperts #SmartProtection
  16. SIR MGAX

    JamiiForums Tanzania Amani za mioyo ni tiba kisaikolojia

    Habari ya muda mrefu wakuu…. Baada ya miezi mingi kupita hatimaye nimerudi tena Binti wa zamani do you see me?…… Hivi mnajua kuwa mioyo yetu inauhitaji wa amani muda wote hapa duniani,na je mnaju kuwa amani za mioyo zinachangia tiba kisaikolojia……anyway iko hivi katika maisha yetu...
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania EWURA tupeni bei za mafuta tulale kwa Amani!

    Tumesharefresh sana website yenu ila hollah!
  18. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Kununua Hayana Amani Kama Kuwa na Mke Wako

    Kadri vijana wengi wanavyoendelea kukua, wengi wanajikuta wakiingia kwenye mahusiano ya pesa yaani kununua malaya kuliko mapenzi ya kweli ya kuishi ndani na mwanamke. Wapo ambao kila wakitaka kuwa karibu na mwanamke lazima gharama ihusike tendo linakuwa kama kazi ya kulipia huduma badala ya...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Amani Golugwa: Tunaenda kuiondoa CCM madarakani kidemokrasia

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Tanzania Bara Amani Golugwa wakati akizungumza na...
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Irani inavyoleta mizwengwe kwenye Mazungumzo ya Amani na Marekani!!

    KWANZA, Iran inajua haiwezi kushinda vita hivi kwenye uwanja wa vita. Inaweza kushinda tu kwenye meza ya mazungumzo. Na kwa namna fulani, ndivyo hasa inavyoendelea. Kwa wiki kadhaa, mistari nyekundu iliwekwa. Tarehe za mwisho ziliwekwa. Maonyo ya mwisho yalitolewa. Kisha Iran ilifanya kile...
Back
Top Bottom