aliyefeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Expensive life

    D voice ndio msanii aliyefeli kuliko wasanii wote waliowahi kutambulishwa na WCB

    Dogo amepoa sana kama uji wa sembe, hana amsha amsha, mziki wa bongo unahitaji uandishi mzuri na drama kwa wingi ili uende mjini. Diamond platnumz licha ya uandishi wake mzuri alikuwa na drama nyingi, rejea harmonize, rayvann, mbosso, zuchu hawa wote wimbo wao wa kwanza tu uliwapeleka mjini...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Aliyefeli hawezi kuwa Mwalimu wako, hatujifunzi kwa waliofeli

    Mpo salama! Moja ya kanuni ninayoitumia ni pamoja na kufundishwa na waalimu waliofaulu. Iwe kwenye taaluma, biashara, Siasa, mahusiano, Kiroho, miongoni mwa mambo mengine.. Kamwe usijifunze Kwa Watu waliofeli, mtu aliyefeli asiwe Mwalimu, role model, au mshauri wako. Kikawaida Watu waliofeli...
  3. Kizito16

    Aliyefeli Form 4 anaweza kurudia Form 3 shule ya serikali?

    Habari Wana Jambo Naomba kujua kama kuna Uwezekano kwa Mwanafunzi aliyefeli Kidato cha nne kwa alama div 4 30 mwaka Jana, anaweza Kupata nafasi shule yoyote ya serikali arudie kwa kuanzia Form 3.
  4. K

    Mwanafunzi aliyefeli darasa la Saba anaweza kurudia darasa katika shule ya Serikali nyingine?

    Wakuu habari ya November Nina dogo yuko Dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa Ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawzekana akaja Dar akarudia darasa kwenye shule ya Serikali? Kama inawzekana process zake ziko vipi? Natanguluza shukrani!
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Rule No 5: Usiombe ushauri kwa aliyeshindwa

    RULE NO. 5; USIOMBE USHAURI KWA ALIYESHINDWA. Ni Yule, Robert Heriel Watu wengi wanaoniuliza kuwa Kwa nini nimepunguza kuandika Mtandaoni nimeona niwajibu Kwa pamoja hapa; Namalizia kuandika kitabu ambacho kitakuwa cha manufaa Kwa kizazi hiki mpaka kizazi kijacho. Haya nirejee kwenye ujumbe...
Back
Top Bottom