NakaziaHaiwezekani mkuu. Namba ya kidato cha pili unatumika mara moja tu. Huyo anaweza rudia kama mwanafunzi wa kurudia tu.
Hizo zote haziwezekani mkuu. Siku hizi ili ufanye mtihani wa kidato cha pili kwenye usajili wanaingiza namba ya darasa la saba. Kwahiyo, hawezi rudia kidato cha pili tena na hawezi tumia jina la mtu mwingine mana hata kidato cha pili pia wanatumia picha kwenye usajili waoInawezekana kwa option kubwa mbili.
1. Afanye mtihani wa Form 2 kwanza ili apate namba.
2. Aingie Form 3 kwa jina la mtu.
( Kuna raia huwa wanaacha shule, halafu Walimu wanajiongezq kwa kuchukua mtu wa Form 1 au 3 kufanya mitihani yao, ili hayo majina yapate namba. Haya majina baadaye huwa yakipata mtu, wanayauza ).