Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,695
- 5,467
Dogo amepoa sana kama uji wa sembe, hana amsha amsha, mziki wa bongo unahitaji uandishi mzuri na drama kwa wingi ili uende mjini.
Diamond platnumz licha ya uandishi wake mzuri alikuwa na drama nyingi, rejea harmonize, rayvann, mbosso, zuchu hawa wote wimbo wao wa kwanza tu uliwapeleka mjini, lakini licha ya hayo walikuwa na drama nyingi nje ya uwanja.
Wcb mwambieni hata mboso amuandikie huyo dogo wimbo mmoja, kisha mumtafutia lijimama hata mashalove ionekane ananing’inia kwenye yale maziwa watu wapate la kumzungumzia hapa town.
Diamond platnumz licha ya uandishi wake mzuri alikuwa na drama nyingi, rejea harmonize, rayvann, mbosso, zuchu hawa wote wimbo wao wa kwanza tu uliwapeleka mjini, lakini licha ya hayo walikuwa na drama nyingi nje ya uwanja.
Wcb mwambieni hata mboso amuandikie huyo dogo wimbo mmoja, kisha mumtafutia lijimama hata mashalove ionekane ananing’inia kwenye yale maziwa watu wapate la kumzungumzia hapa town.