ajira

  1. Sami Omary Khamis

    GE2020 Waajiri wamuonya Lissu kupotosha kuhusu ajira

    NA MWANDISHI WETU JUMUIYA ya Watendaji Wakuu Vijana (The Young CEO Forum) wamemtaka Mgombea wa nafasi ya Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, kuacha mara moja upotoshaji kuhusu kupandishwa mishahara ya wafanyakazi. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar...
  2. Sami Omary Khamis

    GE2020 Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-20 kwenye kuongeza fursa za ajira

    Na Bwanku M Bwanku Fursa za ajira ni eneo muhimu sana katika kukuza maendeleo ya kiuchumi na kijamii ambapo jamii hususan vijana hupewa nafasi ya kuchangia utaalam wao katika kufanya kazi ili kuchangia kukuza maendeleo ya Taifa. Serikali iliyoundwa na CCM katika miaka mitano iliyopita iliweka...
  3. Mwamba1961

    Nafasi ya civil technician

    Position: CIVIL TECHNICIAN (INTERN) Location: Mwanza, Tanzania Duties and Responsibilities To assist in the preparation of contract drawings; To assist in field surveys and data collection; To assist in caring out the printing of drawings and documents; To do clerk works for construction...
  4. M

    Asante Lissu amesababisha ajira za walimu kutangazwa, hotuba ya bajeti ya Waziri hapakuwa na hilo

    Ni mtu mpuuzi tu anayeweza kumdharau mtu kama Tundu Lissu. Lissu kasema Serikali haijaaijiri walimu tangu 2014, hapo hapo serikali inaitupa bajeti ya Ndalichako na kaika hali ya kupaniki inatangaza kufungua dirisha la kuajiri walimu kwa maelfu. Katika hotuba ya waziri wa elimu, yeye aliahidi...
  5. The Humble Dreamer

    Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Wakuu Salaam; Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu. Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :https://ajira.tamisemi.go.tz/ . Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa...
  6. technically

    Bomu la Ajira litamlipukia Rais Magufuli

    Rais Jakaya Kikwete Pamoja na mapungufu yake mengi ya corrupt system aliyokuwa ameijenga lakini alifanikiwa kutoa Ajira kwa watanzania kila mwaka,kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi kila mwaka,kupeleka wafanyakazi kusoma kila mwaka na mengine mengi. Tanzania watu wanaingia kwenye soko Ajira...
  7. R

    GE2020 Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kuathiri ndoa na ajira

    Nimeisoma ilani ya uchaguzi ya CHADEMA kurasa zote. Nimeona kasoro nyingi sana lakini kwa leo nitazungumzia kaosro mbili ambazo zina athari kwa jamii ya watanzania nazo ni ndoa na pia kwa watakaokuwa wanamaliza masomo na kutafuta kazi. Pia nitazungumzia na ushoga jao haupo katika ilani lakini...
  8. T

    GE2020 Kutangaza ajira katika ya kampeni ni Rushwa

    Ahadi ya Rais ya kuajiri walimu ni rushwa ya waziwazi. Alitakiwa aseme akichaguliwa tu, anaanza kuajiri hao walimu Novemba baada ya kuapishwa. Tutegemee mengi ndani ya muda huu mfupi kama kupandisha madaraja na increment. TAKUKURU mna ubavu wa kulishughulikia hili?
  9. J

    Waziri Jafo: Dirisha la ajira za walimu 13,000 wa msingi na sekondari kufunguliwa Jumatatu!

    Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo. Hii ni neema kwa mliosomea ualimu. Maendeleo hayana vyama!
  10. mamba1

    Wahanga wa ajira tuna letu jambo tukutane Oktoba

    Habari wana jamvi wale wahanga wa ajira hususani waalimu tuna letu jambo ama tuamue kitu au tubaki kuendelea kuwa mitaani kwa miaka mingine 5. Watumishi pia ikumbikwe kwa miaka 5 imepita bila chochote sasa tuamue either tuongeze miaka 5 bila chochote au tuamue jambo. Pia na watumishi...
  11. MK254

    Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

    • The teachers recruited will serve on permanent and pensionable terms of service. • Interested and qualified candidates should submit their applications online through the commission’s website not later than September 14, 2020. The Teachers Service Commission has announced a massive...
  12. T

    GE2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

    Wajumbe Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado hatujafika au wamecopy na kupaste ya 2015 😁😁😁😁 ) kwa kuongeza ajira zaidi ya MILIONI 8 ( 1,2,3 ...
  13. Mwamba1961

    HR Officer - Industrial Relation

    QUALIFICATION REQUIREMENTS: Bachelor’s degree in either Employee Relations, Law,HR,Public Administration or related discipline.
  14. Komeo Lachuma

    Wanawake wenye ajira hizi wanapata shida kwenye Soko la Ndoa. Wanaume huwakwepa

    Kumekuwa na malalamiko sana kutoka kwa Makundi haya ya Wanawake kuhusiana na mtizamo wa Wanaume wengi juu ya Kazi zao. 1. Wanasiasa 2. Manesi 3. Masekretari 4. Askari/ Wanajeshi 5. Wanasheria 6. Wafanya biashara wanaosafiri safiri 7. Air hostess 8. Wasanii Wanaume wengi wamekuwa wakiogopa kuoa...
  15. A

    Mliowahi kuepuka huu mlinganyo wa shetani, njooni mtoe ushuhuda, (kukosa ajira + biashara kufeli)

    Naposema mlinganyo wa shetani namaanisha hivi, una-graduate chuo na gpa nzuri tu, una-apply kazi sehemu tofauti zaidi ya Mara 104 hivi, na zote unakosa.. Unajaribu biashara kadhaa, lakini biashara zote zinafeli, na kabla ya kufeli, zikiwa zinaendelea, zinakupa hela ya kula tu, hela ambayo...
  16. Mlenge

    Nafasi ya Cheti kwenye Ajira

    Nafasi ya Cheti kwenye Ajira Miaka ya 1980s kurudi nyuma, hali ilivyokuwa ni kwamba serikali ilikuwa ikihitaji watumishi wengi, lakini waliokuwa na sifa ambazo serikali ilikuwa ikizitafuta, walikuwa wachache. Wanafunzi waliokuwa wakihitimu kidato cha nne, walikuwa na fursa za kuajiriwa moja...
  17. The Palm Tree

    TANGAZO LA AJIRA 12,000 ZA UALIMU TAMISEMI: Ni la kweli au ni magumashi ya CCM na siasa za uchaguzi mkuu tu?

    Takribani wiki NNE au TATU zilizopita waziri wa OR - TAMISEMI Ndg Selemani Jaffo alizungumza na waandishi wa habari... Kati ya mambo mengi aliyozungumza, aliutangazia umma pia kuwa, serikali imeshatangaza AJIRA MPYA ZA UALIMU 12,000 kwa shule za Msingi & Sekondari... Ukiingia katika website ya...
  18. kali linux

    GE2020 Wagombea uchaguzi huu hasa nafasi ya Rais njooni na suluhiso la ajira nchini, leteni sera za kuinua wawekezaji wa ndani

    Hello bosses, Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni aibu kuona wanavyuo wengi wanahitimu wakati bado wengine wengi wako mitaani bila kazi au wanafanya kazi za chini sana ambazo hata hawakutegemea(kama vile ulinzi, vibarua, etc....) Ni muda sasa wagombea wetu mje na sera za kutatua tatizo la...
  19. S

    Ugumu wa ajira siku hizi

    Habari? Natumaini mu wazima wa afya, kwa wasio vizuri kiafya poleni sana. Jamani kwa upande wangu nimetafuta sana kazi bila mafanikio mpaka nahisi kukata tamaa. Nafikiria kujiajiri lakini mtaji nao changamoto kwangu. Kwa mwenye kazi au hata anaeweza kuniunganisha sehemu inapopatikana...
  20. excel

    Nina Shahada ya Logistics and Transport Management, natafuta kazi

    Habari JF, Mimi ni kijana mwenye elimu ya Shahada ya Logistics and Transport Management Nimependa kuja mbele zenu kuomba connection ya kazi katika Field za logistics and Transport management. Naweza kufanya kazi katika field za: - Warehousing and Stores Administration - Inventory...
Back
Top Bottom