TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Wiki hii naona kuna malaika wa ajira anatembelea nyumba hadi nyumba. Taratibu milango ya ajira kwa vijana imeanza kufunguka hata kabla ya mama kubonyeza ile batani lakini automatically imeanza kufunguka.
Naona vijana wengi hata wale wapiga kelele wa humu wameitwa kazini. Binafsi nimepata interview mbili moja kuwa Operation Manager wa kampuni na nyingine kuwa Project Manager wa International company ofa zote mbili zipo mezani mpaka nimeshindwa kuchagua.
Ila natabiri mito ya ajira kufunguka mwaka huu kama mvua.
Tumuombee tu mama President awakumbuke vijana wake kwenye swala la ajira.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Wiki hii naona kuna malaika wa ajira anatembelea nyumba hadi nyumba. Taratibu milango ya ajira kwa vijana imeanza kufunguka hata kabla ya mama kubonyeza ile batani lakini automatically imeanza kufunguka.
Naona vijana wengi hata wale wapiga kelele wa humu wameitwa kazini. Binafsi nimepata interview mbili moja kuwa Operation Manager wa kampuni na nyingine kuwa Project Manager wa International company ofa zote mbili zipo mezani mpaka nimeshindwa kuchagua.
Ila natabiri mito ya ajira kufunguka mwaka huu kama mvua.
Tumuombee tu mama President awakumbuke vijana wake kwenye swala la ajira.
Au nasema uongo ndugu zangu?