afrika

  1. Analogia Malenga

    Wanawake wa Afrika wanapelekwa India kwa ajili ya ngono

    BBC Africa Eye imefichua mtandao unawashawishi wanawake wa Kiafrika kwenda India, ambako wanalazimika kufanya ukahaba ili kuwaridhisha wanaume wa Kiafrika wanaoishi New Delhi. Paspoti zao zinachukuliwa na matembezi yao kudhibitiwa hadi watakapolipia gharama kubwa waliyotumia kusafiri kwenda...
  2. L

    Nchi gani ya Afrika iliyoongozwa/tawaliwa na Rais mmoja tu kwa miaka mingi na ikapata maendeleo?

    Iko mifano mingi Afrika ya nchi ambazo marais wake wameongoza au tawala kwa muda mrefu (miaka mingi) lakini hakuna chochote cha maana walichofanya. Kutaja kwa uchache, Uganda na Congo!!! Itambulike iwe Rais mwenyewe, wasaidizi wake, washauri wake au mwananchi wa kawaida kufikiria tu rais...
  3. B

    CNN: Tanzania yatoa kivutio namba 1 cha kutembelewa kwa mwaka 2020, yazishinda nchi nyingine 30

    With its expansive landscapes and formidable animal life, the world's second-biggest continent is arguably the best for photographers. Throw in that sense of being in a place that hasn't changed for centuries, and sometimes millennia, and you get some of the most inspiring, and inspired...
  4. M

    Hivi ni nini mantiki ya Zanzibar kushiriki mashidano ya vilabu ya Afrika na si timu ya taifa?

    Wadau hili suala huwa linanitatanisha sana! Hivi inakuwaje Zanzibar inashiriki mashindano ya Vilabu ya CAF ilihali sio mwanachama, na ndiyo linapokuja suala la Timu ya Taifa inayotambuliwa ni ya Tanzania (URT) Au kwenye vilabu Zanzibar hushiriki kama mwalikwa wa kudumu?
  5. GENTAMYCINE

    Hili la marais wa Afrika kulindwa na walinzi wawili katika matukio tofauti lipo tu barani Afrika au ni duniani kote?

    Nimekuwa nikiona sana karibia marais wengi barani Afrika (ila sina uhakika kama na wa Tanzania nae yupo hivyo) mara nyingi wanakuwa wanalindwa na walinzi wa aina mbili wawapo katika matukio tofauti ya kijamii na kitaifa. Kwa mfano kuna Rais mmoja barani Afrika huwa naona akiwa katika matukio ya...
  6. Sky Eclat

    Afrika kushindwa kutambua talanta yetu kumeturudisha nyuma

    Muziki na mbio ni talanta kubwa ya Afrika. Hatukuliona hili mapema tuling’ang’ania elimu ya mzungu na kila familia ilipigana iwe angalau na mmoja mwenye degree ya chuo kikuu ili aikomboe familia. Angalia number ya wanamuziki, wakimbiaji na wanamichezo wenye asili ya Afrika, entertainment is our...
  7. Analogia Malenga

    Je, ni vitu vingapi vilivyoibwa Afrika na sasa vipo katika makavazi tofauti duniani?

    Ni jogoo mwenye historia yenye utata ambaye amesafiri mbali zaidi ya taifa la Nigeria anakotoka - na sasa anatarajiwa kurudishwa nyumbani. Chuo kimoja kuu cha Cambridge kimetangaza kwamba kitarudisha mojawapo ya kile kilichotajwa kuwa shaba ya Benin , kilichoibwa kutoka mji mkuu wa Benin ambao...
  8. Determinantor

    TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

    Kuna taarifa za msiba wa Alli Mafuruki. Hakuna taarifa zaidi zilizopatikana hadi sasa. Pumzika kwa Amani ==== Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group, Ali Mufuruki amefariki dunia leo Enzi za uhai wake Mufuruki aliwahi kuwa Mkurugenzi Huru, Mwenyekiti wa Bodi...
  9. Suley2019

    Takwimu: Umoja wa mataifa waeleza kuwa takribani watu 280 wafariki na wengine milioni 2.8 wameathirika kwa mafuriko Afrika Mashariki

    Umoja wa Kimataifa (UN) waeleza kuwa Karibu watu 280 wamefariki na wengine zaidi ya milioni 2.8 walioathiriwa na mvua nzito na mafuriko katika ukanda wa Afrika mashariki. Ofisi ya UN ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema nyumba, miundombinu na makazi ya watu yameharibiwa jambo...
  10. Barbarosa

    Hivi ni kweli, Afrika yetu hatukuwa na Tairi (Gurudumu) kabla ya Ukoloni?

    Nimemsikia Profesa mmoja kutoka Chicago School of Economics, akisema kwamba sababu ya Afrika yetu kuwa nyuma kimaendeleo kuliko sehemu nyingine ni kwa sababu hatujawahi kuwa na tairi hapo nyuma, ndioo namaanisha tairi kama la gari. Yaani hatukuwahi kuunda tairi na kulitumia kwenye shughuli mbali...
  11. Analogia Malenga

    Mvua Afrika Mashariki: Vimbunga pacha kupiga Alhamisi, Ijumaa

    Vimbunga viwili vinatarajiwa kutua katika pwani ya Afrika Mashariki usiku wa leo Alhamisi na kesho Ijuamaa, mamlaka za hali ya hewa zinaripoti. Eneo la Puntland nchini Somalia ndilo linalotarajiwa kuathirika zaidi na tufani hiyo. Kwa mujibu wa wataalamu wa hali ya hewa, mgandamizo wa hali ya...
  12. Analogia Malenga

    Mvua, mafuriko na maporomoko zawaathiri watu milioni 3 Afrika Mashariki

    Kiasi cha watu milioni 3 kote Afrika Mashariki wameathiriwa na mvua, mafuriko na maporomoko ya matope katika wiki za karibuni. Zaidi ya watu 200 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya matope huko Afrika Mashariki tangu kuanza kwa msimu wa mvua, ambao bado haujakwisha. Watalaamu...
  13. Miss Zomboko

    Asasi za Kiraia kuishtaki Tanzania kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya haki za binadamu Afrika

    Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema wanatafakari kuIshtaki Serikali ya Tanzania katika kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika. Katika barua...
  14. GENTAMYCINE

    Je, Marais wengine wa Afrika nao yakiwakumba kama ilivyo kwa Al Bashir wa Sudan tutawaonea Huruma?

    Kama kuna Mtu ambaye hivi sasa kila nikiona yanayomkumba na kumtokea wakati alipokuwa Madarakani alikuwa ni Mbabe na Mkatili huku akiwa hataki Kung'oka namuonea mno / sana Huruma ( Imani ) ni aliyekuwa Rais wa Sudan Omar Al Bashir. Jamani Jamaa anatia Huruma na ukiwa na Moyo mwepesi kama...
  15. GENTAMYCINE

    Je, zile Juhudi za wale 'Maprofesa' waliomshinda Mkulima Afrika Kusini mbona hatuzioni sasa huko nchini Canada?

    Kuna Mmoja wa hao ‘ Maprofesa ‘ ndani ya hilo Jopo lao ( sasa Naibu Waziri wa Wizara ambayo nimeisahau kwa sasa ila nikiikumbuka nitaitaja ) nakumbuka baada tu ya Kufanikiwa ‘ Kuikomboa ‘ Kisheria Mbung’o / Ndege yetu huko kwa Waafrika Wenzetu Afrika Kusini alipohojiwa alikuwa akiongea kwa...
  16. Q

    Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

    Tanzania imeondoa Art 34(6) kwenye sheria zake inayoruhusu mwananchi mmoja mmoja na NGO's kuishitaki kwenye mahakama ya Afrika. Je huu ni uoga au imeona inafanya makosa mengi. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu ilianza rasmi shughuli zake huko Addis Ababa, Ethiopia mnamo Novemba...
  17. Miss Zomboko

    Siagi ya karanga kutoka Kenya yapigwa marufuku Afrika Mashariki

    NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimepiga marufuku uingizaji, usambazaji na uuzaji wa bidhaa za siagi, zilizotengenezwa kwa karanga kutoka Kenya. Zimepigwa marufuku kutokana na bidhaa hiyo, kubainika kuwa na vimelea hatarishi kwa afya za walaji. Kwa mujibu wa Shirika la Viwango...
  18. B

    Ifahamu Itifaki ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AFCHPR)

    Wataalamu wa sheria tunaomba uchambuzi wa kina tujue hii kitu na uhalisia wake katika kutekelezeka === PROTOCOL TO THE AFRICAN CHARTER ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS ON THE ESTABLISHMENTOF AN AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS The Member States of the Organization of African Unity...
  19. Miss Zomboko

    Watu milioni 33 hatariní kukumbwa na baa la njaa barani Afrika

    Shirika la Save the Children limeonya kuwa watu milioni 33 kutoka nchi kumi za Afrika Mashariki na Kusini wako kwenye hatari ya kukumbwa na njaa kutokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Shirika hilo limetoa ripoti hiyo katika siku ya kwanza ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu...
  20. Analogia Malenga

    Tanzania yazuia mtu, NGOs kufungua kesi dhidi yake Mahakama ya Afrika

    Serikali ya Tanzania imeondoa haki ya mtu na asasi za kiraia (NGOs) kuweza kufungua mashtaka dhidi yake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na za Mataifa, Shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International limegundua. Kuondolewa kwa haki hizi kutawanyang’anya watu na asasi...
Back
Top Bottom