Ndugu zangu naomba nitoe la moyoni kuhusu Air Tanzania Head office. Kama wakisoma na wakikasirika ni sawa tu. Sio wote humu ndani tunaishi Tanzania tuna book ticket online tunahitaji confirmation kuhusu ndege na kila kitu ila ukipiga simu kwanza wafanyakazi wana dharau sana tena sana na pia...
Habari wakuu hope mnaendelea vizuri kwa kazi zetu za siku zote....
Me nilikuwa naomba tu uzoefu wa watu ambao wamejaribu hii kitu je ilikuwaje na inachukua siku ngapli hasaa nategemea mwezi wa tano kuendesha gari yangu mwenyewe na mke wangu kama adventure kuanzia Dar kwenda Zimbabwe je naombeni...
Wakuu hapa kati nilikuja na uzi wa kusema natafuta kuku wa kienyeji wasiochanjwaa....
Niliweza kufanikiwa kununua kuku sehemu tofauti na wengine nilipata kutoka mbeya ila walivyofika nikawachanganya bila kuwapa chanjo wala dawa zaidi ya alovera
Now kuku wanakufa vibaya sanaa wanamafua na...
Wakuu habari
Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi naomba mnisaidie tafadhali kama kuna mtu anaweza kunikusanyia hata kutoka mikoani kuleta dar...
Wakuu habari
Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi naomba mnisaidie tafadhali kama kuna mtu anaweza kunikusanyia hata kutoka mikoani kuleta dar...
Wakuu naomba msaada wenu kama kichwa cha habari kinavyosemaa..
Kwa hapa dar aapi nitapata fundi mzuri wa kueleweka na muaminifu wa AC maana nina gari ila inasumbua sanaa AC haifanyi kazi kuna mahali nimeipeleka imerudi ukiongeza kutoka number 1 kwenda 2 inabakia vile vile plus saa zingine...
Pesaa kitu kibaya sanaaa na kabla ya kufanya uwamuzi wa kwenda WCB ulifanya vizuri sanaa ukiwa mwenyewe nyimbo nyingi sanaaa ulikuwa unafanya mwenyewe na kuziachia ila sasa hivi toka uingia WCB hamna nyimbo ya maana hata moja umeachia ukasikika
Sasa hivi umepotea na hatukusikii kabisaaa...
Ndugu zangu sasa hivi nimepita Sayansi pale shell kama hujamuona ndugu yako hajarudi basi tafadhali wahi hapo sayansi darajani atakuwa ameishia hapo. Kuna ajali mbaya sana imetokea pale na watu zaidi ya wawili wamefariki kati ya boda boda na gari nyeupe fulani nyuma ipo wazi.
Sijui nini...
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji wakaiba duka zima vitu vikawa vimebaki vichache sanaa... sasa hivi tena kama siku 3 zimepita wamekuja...
Wakuu naomba msaada kati ya hayo mawili kichwa cha habari kinavyosema nilikuwa nataka kuagiza je kuna haja ya mimi kulipa pre export inspection or Marine Insurance??naomba naomba waalam ambao mmeshaagiza magari Japan mnijulishe tafadhali hili jibu, naamini wengi mtakuwa mnajuwaa...
Wakuu hii nawapa attention tu watu wote ambao mnapenda kutembea usiku naomba muwe makini sana.
Hili eneo la mbuyuni na magomeni hospitali hapa katikati kwenye lile bonde,pale hapafai hata kidogo kuanzia majira ya saa saba mpaka saa tisa usiku.
Kwa kifupi kuna majambazi pale wanakuwaga na gari...
Nimekaaa nimemfatilia sana huyu jamaa bado simuelewi elewi mpaka sasa,unashangaa anatoa video kali sanaaa na yeye ndio mwenye wimbo ila kwenye huo wimbo sioni anachoimba au mimi ndio sijui mziki vizuri,Tuangalie kwanza hizi video kidogo hapa chini alafu turudi kuambiana kwanza.
Tamasha la 'TribeOne Dinokeng' limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika tarehe 26 - 28 September
Alafu mnasema Ally Kiba hajui mziki kijana mambo yake anafanya kimya kimya na sio kwa kujitangaza na kushinda mitandaoni, sitaki kumsema mtu ila napenda mtu...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba msaada nataka niende huko mwaka huu hata kwa siku 4 tu au 5 days kubadilisha hali ya hewa baada ya likizo yangu fupi nikiwa hapo dar...
Sina ndugu wala jamaa huko naenda mwenyewe tu nimeamua, so nataka nijue namna watu wanakata ticket...
Wakuu hii tabia naona sasa inaeendelea hapa bongo kwenye music, maana vijana wanapenda sana mteremko na kutoka kwa kutumia migongo ya watu, sasa huyu jamaa anajiita JAY MASWAGGER, ame copy huu wimbo hapa
Changanya Changanya Sharo Milionea Ft. Ali Kiba New music Ugrecords1 - YouTube
Ilikuwaa...
Mmiliki wa maduka ya* Robby One Fashion, Maarufu kama Robby One pamoja na Big Jahman ambae pia ni mmiliki wa Maduka ya Jahman Fashion, inadaiwa kuwa asubuhi ya leo tarehe 20/09/2012 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kukamatwa na mali za wizi...
Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia...
At dinner a little boy offered to lead in prayer;
Dear GOD, I thank you for giving me such lovable parents, Thanks for visitors and their children who finished all my cookies & ice cream.Bless them so that they wont come again. Forgive our neighbour's son who was wrestling with my sister on...
Wakuu naombeni msaada wenu maana inabidi nifanye haraka iwezekanavyo so nahitaji hasa mawazo na nini nifanye,mwaka 1997 nilinunua ekari kama 4 hivi mbezi ya morogoro road kipindi hicho kulikuwa kuna pori sana na nilinunua kwa shilling 9,000 tu.....so sasa hivi hiyo sehemu watu wamenizunguka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.