Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,250
- 2,162
Nimekaaa nimemfatilia sana huyu jamaa bado simuelewi elewi mpaka sasa,unashangaa anatoa video kali sanaaa na yeye ndio mwenye wimbo ila kwenye huo wimbo sioni anachoimba au mimi ndio sijui mziki vizuri,Tuangalie kwanza hizi video kidogo hapa chini alafu turudi kuambiana kwanza.
Last edited by a moderator: