Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,250
- 2,162
Wakuu habari
Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi naomba mnisaidie tafadhali kama kuna mtu anaweza kunikusanyia hata kutoka mikoani kuleta dar nitashukuru ila nahitaji mbegu nzuri na nahitaji tetea peke yake nipo tayari kuchukua hata 30 kama bei nzuri...
NB Sitaki kuku ambao wamechanjwa na kupewa madawa ya kizungu sitaki hao nataka kuku ambao wale pure na hawajapewa madawa yoyote ya kizungu....
Nahitaji kwa ajili ya kufuga mimi mwenyewe...
Nawasilisha...
Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi naomba mnisaidie tafadhali kama kuna mtu anaweza kunikusanyia hata kutoka mikoani kuleta dar nitashukuru ila nahitaji mbegu nzuri na nahitaji tetea peke yake nipo tayari kuchukua hata 30 kama bei nzuri...
NB Sitaki kuku ambao wamechanjwa na kupewa madawa ya kizungu sitaki hao nataka kuku ambao wale pure na hawajapewa madawa yoyote ya kizungu....
Nahitaji kwa ajili ya kufuga mimi mwenyewe...
Nawasilisha...