Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Wakuu hapa kati nilikuja na uzi wa kusema natafuta kuku wa kienyeji wasiochanjwaa....
Niliweza kufanikiwa kununua kuku sehemu tofauti na wengine nilipata kutoka mbeya ila walivyofika nikawachanganya bila kuwapa chanjo wala dawa zaidi ya alovera
Now kuku wanakufa vibaya sanaa wanamafua na nilikuwa kama na kuku 50 mpaka sasa wamekufa 9 na nimewapa kila aina ya dawa zaidi napigiwa simu naambiwa kuku hawali wanazidi kuzoofika kila siku naomba msaaada wenu tafadhali..
Msaada wenu wa haraka tafadhali...
Niliweza kufanikiwa kununua kuku sehemu tofauti na wengine nilipata kutoka mbeya ila walivyofika nikawachanganya bila kuwapa chanjo wala dawa zaidi ya alovera
Now kuku wanakufa vibaya sanaa wanamafua na nilikuwa kama na kuku 50 mpaka sasa wamekufa 9 na nimewapa kila aina ya dawa zaidi napigiwa simu naambiwa kuku hawali wanazidi kuzoofika kila siku naomba msaaada wenu tafadhali..
Msaada wenu wa haraka tafadhali...