Habarini wana Jamii Forums!
Kwa wanao fahamu maisha ya Dar ... kumkutaa mwanamke mwenye mtoto stendi pamoja na mabegi yake na hana pa kwenda ni jambo la kawaida!
Kuna mwamba hapa alitokea zake kwenye mizunguko akafika rangi tatu pale ( mbagala zakiem ) kutokana na uhaba wa usafiri hasa kwa...
Ww tunakujua ni TISS unaleta madaa za kushobokaa mwisho wa siku tukichangia mnakuja kutubeba usiku na Noah nyeusi na kututupa kwenye viroba kule mbezi ... Hakuna watu wanafki kama nyie mbwa
Mkuu hiyo hela ya kuja mbagala bora uitumie kununua nyama robo ule ! Maana mbagala shidaa kuu usafiri hata yakija hayo ma mwendo kasii kushikaa bomba itakuwa kawaidaa sana ! Alfu kingine kule foleni uhakika maana madereva wengi ni dishiii na magari yao ya kukokotaa hayachelewi kuzima au...
😂😂😂 yale yale nimetokaa kuongea hapa ! Ww ungekuwa na hela hiyo tv wala usingekuja hapa kuulizia ni wapi utaenda kutengeneza maana sehem ni nyingi ila garamaa ndo itakutoa ushuzii... hao wanaokuambia kariako usifikiri ukija huku ni mteremko... watu wanafanya kazi kwa kujuana ... fundi anaweza...
Kwa post hii kweli ww bado mtoto mdogo! Bado akili haijatulia ! Pili una imani potovuu, kuumwa kwako usimsingizie dada wa watu maana akijua fikra zako ndo kama hizi dakika chachee tuu ushapigwa kipapai alafu uje kusema mapenzi hamna wanawake hamna wakati ni ujinga wako tuu mwenywe
Unajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...
sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...
Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo...
Kisomo cha Ahlul Badri inapatikana wapi ??? Uislamu au kwa wenzetu wakristo ! Tukubali ukweli kitabu cha Quran ukisoma in deep na kufuata mambo mengi lazma utaonekana mchawiii 💔
- Wakuu leo katika pita pita zangu nimepita sehem mmoja hivi kariako mtaa wa sikukuu ! hapo Nilikutana na wanaa basi tukapiga piga stori mbili tatu na nisemee wazii nimepataa vituu adimu sana.
- Kwanza nimegundua kuwa ule msemo wa Adui mkubwa wa umasikini ni Elimu ni kweli kabisaa na hii ni...
Mwanachama #002
Shangazi Lisa Naomba unipostie ID yang ficha!
Shangazi amini dunia hii ina mambo mengi, changamoto za ndoa hazifanani ,yakwangu imenijia vibaya! Sijajipanga kwa hili kabisa! Na hapa najuta kwanini nilioa! Shangazi natoa mkasaa wangu nivumilie 2 maana ni aibu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.