Habari Wana JamiiForums!
Kama kichwa kinavyojieleza, Kijana wenu nipo apa kuomba kazi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali. Kazi hilo iwe ndani ya taaluma yangu, au nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya.
Jinsia: Kiume
Miaka: 23
Mahali Dar es salaam.
Elimu: Chuo Kikuu.
Nilichosomea...
Habari wana JamiiForums!
Poleni na hongereni kwa utafutaji wenu, Mungu abariki kazi za mikono yenu.
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu, naomba usome uzi wangu, na mwisho unaweza nishauri. kupitia huu uzi nawe utapata funzo piaa.
NAANZA; Kipindi cha miezi miwili iliyopita nilipata nafasi ya...
Habari WajaJF
Husika na kichwa cha habari pale juu
Sifa ya chumba
_______________
1. Kiwe katika hali nzuri tu ya kuweza kuishi MTU
2.Kiwe na umeme
3.Kiwe na Maji
4. Kiwe nawapangaji wachache
5. Kiwe Dar es salaam maeneo ya Ubungo
6. Kiwe eneo linalopitika
7. Kisiwe mabondeni
Ahsanteni
Habari wanaJF,
Kama kichwa kinavyojieleza
Swali: Barua isiyokua na nambari ya Kumbukumbu Namba ni sawa na ujumbe uliopotelewa njia. Jadili kauli hii kwa hoja madhubuti.
Natanguliza shukrani[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.