Natafuta Kazi, Mshahara Uwe Laki Moja

Habari Wana JamiiForums!

Kama kichwa kinavyojieleza, Kijana wenu nipo apa kuomba kazi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali. Kazi hilo iwe ndani ya taaluma yangu, au nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya.

Jinsia: Kiume
Miaka: 23
Mahali Dar es salaam.
Elimu: Chuo Kikuu.
Nilichosomea: Ualimu masomo ya Kiswahili na Literature.
Uzoefu: Nimefundisha shule mbili. Tanga na Pwani.

Ujuzi mwingine; Kuondesha mitandao ya kijamii, App nk, kuosha magari pamoja na kuuza duka.

Kama nilivyojieleza awali nipo tayari kufanya kazi yoyote ata ambayo ipo nje ya taaluma yangu. Iwe kuuza duka, na kazi zingine ambayo mtu yeyote anaweza kuzifanya nipo tayari.

Sifa zangu: Kijana mchapakazi, mwenye nidhamu, napenda kujifunza nk. Kazi yako nitaifanya kwa moyo wote na uaminifu wa hali ya juu.

Mawasiliano: jro08728@gmail.com

Ahsante.
Unatafuta kazi au mshahara?
 
Kichwa nimeandika: NATAFUTA KAZI, MSHAHARA UWE LAKI MOJA.

Ufafanuzi. Natafuta kazi, ambayo mshahara wake uwe ni laki moja.
Ameni uwezo wako,Weka uwezo wako,Kazi utapata.Mshahara utaongea na mwajiri.Ajira sio huruma ni fursa.
 
'Leo tena' .... Hili Jina linafanana Na Kipindi cha Radio Fulani hivi kimejaa Umbea Umbea.....!
Siku nyingine ili kujenga imani tumia Jina Fulani la kistaarabu.
 
Habari Wana JamiiForums!

Kama kichwa kinavyojieleza, Kijana wenu nipo apa kuomba kazi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali. Kazi hilo iwe ndani ya taaluma yangu, au nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya.

Jinsia: Kiume
Miaka: 23
Mahali Dar es salaam.
Elimu: Chuo Kikuu.
Nilichosomea: Ualimu masomo ya Kiswahili na Literature.
Uzoefu: Nimefundisha shule mbili. Tanga na Pwani.

Ujuzi mwingine; Kuondesha mitandao ya kijamii, App nk, kuosha magari pamoja na kuuza duka.

Kama nilivyojieleza awali nipo tayari kufanya kazi yoyote ata ambayo ipo nje ya taaluma yangu. Iwe kuuza duka, na kazi zingine ambayo mtu yeyote anaweza kuzifanya nipo tayari.

Sifa zangu: Kijana mchapakazi, mwenye nidhamu, napenda kujifunza nk. Kazi yako nitaifanya kwa moyo wote na uaminifu wa hali ya juu.

Mawasiliano: jro08728@gmail.com

Ahsante.
Mkuu nenda kampuni ya ASA microfinance upeleke CV yako pale sasa hivi wako Upanga kazi nyingi pale ni afisa mikopo na wanachukua sana walimu mishahara yao ni mara 5 ya hicho kiwango ulichotaja hapo, kwa kuanzia siyo mbaya ukisubiria kazi ya ndoto yako, all the best.

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom