Unatafuta kazi au mshahara?Habari Wana JamiiForums!
Kama kichwa kinavyojieleza, Kijana wenu nipo apa kuomba kazi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali. Kazi hilo iwe ndani ya taaluma yangu, au nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya.
Jinsia: Kiume
Miaka: 23
Mahali Dar es salaam.
Elimu: Chuo Kikuu.
Nilichosomea: Ualimu masomo ya Kiswahili na Literature.
Uzoefu: Nimefundisha shule mbili. Tanga na Pwani.
Ujuzi mwingine; Kuondesha mitandao ya kijamii, App nk, kuosha magari pamoja na kuuza duka.
Kama nilivyojieleza awali nipo tayari kufanya kazi yoyote ata ambayo ipo nje ya taaluma yangu. Iwe kuuza duka, na kazi zingine ambayo mtu yeyote anaweza kuzifanya nipo tayari.
Sifa zangu: Kijana mchapakazi, mwenye nidhamu, napenda kujifunza nk. Kazi yako nitaifanya kwa moyo wote na uaminifu wa hali ya juu.
Mawasiliano: jro08728@gmail.com
Ahsante.
Ameni uwezo wako,Weka uwezo wako,Kazi utapata.Mshahara utaongea na mwajiri.Ajira sio huruma ni fursa.Kichwa nimeandika: NATAFUTA KAZI, MSHAHARA UWE LAKI MOJA.
Ufafanuzi. Natafuta kazi, ambayo mshahara wake uwe ni laki moja.
Una uhakika?Usipende kusumbua watu hata kama wana shida....hili swali halikuwa na ulazima maana kwenye post yake ameshasema
Kuna kazi Kanda ya ziwa ila masculine kidogo mshahara unaweza fika kama laki na kidogo.Dar es salaam, Ubungo.
Mkuu nenda kampuni ya ASA microfinance upeleke CV yako pale sasa hivi wako Upanga kazi nyingi pale ni afisa mikopo na wanachukua sana walimu mishahara yao ni mara 5 ya hicho kiwango ulichotaja hapo, kwa kuanzia siyo mbaya ukisubiria kazi ya ndoto yako, all the best.Habari Wana JamiiForums!
Kama kichwa kinavyojieleza, Kijana wenu nipo apa kuomba kazi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali. Kazi hilo iwe ndani ya taaluma yangu, au nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya.
Jinsia: Kiume
Miaka: 23
Mahali Dar es salaam.
Elimu: Chuo Kikuu.
Nilichosomea: Ualimu masomo ya Kiswahili na Literature.
Uzoefu: Nimefundisha shule mbili. Tanga na Pwani.
Ujuzi mwingine; Kuondesha mitandao ya kijamii, App nk, kuosha magari pamoja na kuuza duka.
Kama nilivyojieleza awali nipo tayari kufanya kazi yoyote ata ambayo ipo nje ya taaluma yangu. Iwe kuuza duka, na kazi zingine ambayo mtu yeyote anaweza kuzifanya nipo tayari.
Sifa zangu: Kijana mchapakazi, mwenye nidhamu, napenda kujifunza nk. Kazi yako nitaifanya kwa moyo wote na uaminifu wa hali ya juu.
Mawasiliano: jro08728@gmail.com
Ahsante.