Tuliambiwa kuna maboresho makubwa ya uwanja wa Benjamin William Mkapa (BWM) Stadium, lakini kiuhalisia sijaona jipya lolote mpaka jana nilipoenda kuangalia mechi ya wananchi (timu bora Afrika Mashariki na kati kwa sasa).
Uwanja ni mchafu, vyoo vichafu, viti ni vilevile vya kizamani, kwa kifupi...
Ni zaidi ya wiki sasa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport air condition hazifanyi kazi, hasa kipindi hiki cha joto kali Dar es Salaam, hivi wahusika wanafikiria nini? Je, ni hujuma?
Mama Kizimkazi anajua? Na kama anajua amechukua hatua gani? Na kama hajui kwa...
Haijawahi kutokea hapa Tanzania kukawa na timu ya mpira wa miguu iliyo bora kama au kuliko Young Africans, Yanga pia ndiyo timu pekee kutoka Tanzania kushinda mechi nyingi za nje za kimataifa kwa msimu mmoja. Mpira wa miguu utapata heshima kubwa na kuleta maana ikiwa Yanga itachukua ubingwa wa...
Kama huioni timu yako jua kwamba ni ndogo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakuu nadiriki kusema kwamba hii Yanga tuliyoishuhudia jana ndiyo timu bora zaidi kuwahi kutokea hapa Africa mashariki na kati, hakujawahi kutokea timu ya hapa Africa mashariki na kati ikaupiga mwingi kama Yanga, tena uarabuni.
Ni dhahiri shairi kwamba kuna timu pale Uingereza zinafungika...
WIMBI la mashabiki wa soka kutoka Mombasa nchini Kenya wameendelea kumiminika Bongo, Tanzania kushuhudia mechi ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga ambayo imekua gumzo humu hapa Afrika mashariki na kati.
Mechi hiyo ambayo itapepetwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumapili imewavutia...
Habari zenu wanajukwaa, baada ya kugundua kuwa mtu huyu imeshindikana kabisa kusahaulika ndani ya mioyo ya Watanzania na wasio Watanzania nimeona nianzishe uzi ambao utagusa pande zote yani wale wanaodhani alikuwa Rais bora na wale wanaodhani hakuwa Rais bora.
Ikumbukwe kwamba tangu amefariki...
Yoweri Kaguta Museveni (Rais wa Uganda)
Willy Mutunga (Former Chief Justice of Kenya)
Laurent Kabila (Former president DRC)
Eriya Kategaya (Former vice president of Uganda)
John Garang (Former president of Sudan)
Donald Kaberuka (Former president of AfDB)
Joseph Obgeb Jimmy (Namibian...
Binafsi nilikuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa Tigo, baada ya kuona wanazingua nikahamia voda nao pia nikawahama baada ya kupandisha vifurushi vyao na kuanza kunyonya mb km wananyonya maziwa, baada ya voda nikahamia halotel ambayo niliona ni wakombozi halisi kwani vifurushi vyao ni affordable lkn...
Wapendwa hbr za mida hii . J3 usiku nilipata taarifa kuwa binamu yangu yuko hospitali na ana dalili zote za corona na hali ilikuwa mbaya sana, anakohoa kichizi, mafua, hawezi kupumua, homa kali na kichwa kuuma. Wamem isolate. Hakupewa dawa zaidi ya diclofenac.
Mie usiku huo maombi kwa kwenda...
Wana jukwaa habari zenu, kwanza kabisa ningependa kuwapa pole ndugu jamaa na marafiki walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika janga hili lililoikumba dunia kwa sasa ugonjwa wa covid-19, pia ningependa kuwatakia afya njema na uponaji wa haraka wagonjwa wote waliokumbwa na kirusi hiki...
Kwa mujibu wa familia, nguli huyu wa filamu na michezo ya kuigiza hapa nchini yupo kitandani kwa takribani miezi 9 ss, lakini inaonekana hajapata tiba stahiki ya maradhi yanayomsibu bibi huyu, binafsi nadhani Tanzania bado inamhitaji sn bi hindu, bado tunahitaji sn busara zake, tusisubiri mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.