Nahitaji kubadilisha avatar yangu...nawakaribisha wote kunichagulia avatar mpya..nitumieni picha za aina mbalimbali..
Na zoezi hilo sio bure, kwa atakayenichagulia avatar ntakayoipenda bonge la zawadi kutoka kwangu...
huu sio utani!!
Au bado mnaipenda hii iliopo?
hizi sehemu zinanishangaza....
sehemu imeandikwa ;
usitupe taka hapa....sehemu hiyo unakuta imejaa taka kibao...
si ruhusa kukojoa mahali hapa....harufu ya mkojo kwa kwenda mbele
usikae hapa, by utawala....watu kibao wamekaa....
na mengineyo mmeona...
haya matangazo yamewekwa juu ya...
je nikimmwagia sperm mdomoni mwenzi wangu atapata madhara gani?...maana yeye huwa anapenda na analazimisha nifanye hivyo...
kuna tatizo anaweza pata kiafya?
niliwahi kuulizia kwa nn watu wanashangaa mtu akinunua KY humu ndani,..ile mada ikapotea sasa cjui nimekiuka maadili...c unajua um just a senior member...naomba muongozo wenu!!
katika uchumba/mahusiano ya kimapenzi inatokea kufarakana hata kuachana...je vile vitu mlivyokua mkipeana enzi hizo (zawadi,..picha) yapasa mrudishiane?..
hizi mbeleko za cku hizi...duh...utakuta dogo kawekwa kwenye kikapu..mama/baba yuko mbele anaburuza kama vile unavoburuza begi ukiwa airport au kwingineko safarini...
swali langu... kuna kitu cha ziada anakipata mtoto anaebebwa na mikono ya wazazi wake na huyu wa kukokotwa kama begi?
hebu ongea...
...kuna wimbi la vijana wa shule secondary na msingi...wanaomba sana barabarani...mara naomba mia,..nimepoteza nauli...mara naomba hela nikanunue hiki...hivi wakikutana na watu wakawapa with conditions itakuwaje?alaf wengi ni wakiume...
inaniboa watu wanatumia watu wengine kuelezea matatizo yao...ooh rafiki yangu ni "gasho" ...ooh rafiki yangu ana uume uliopinda...aaaargghh!!funguka tu kama ni ww...
....um a pregnant woman!!...kavaa mwana kaka mmoja...na jinsi yake fresh yuko zake mitaa ya mwenge!!
tusaidiane katika hili, sio kila mtumba unaokuja huku ni wa kununua tu,..nguo zingine zilikuwa zinatumika hospital za vichaa, na za kawaida...nguo zingine zilikuwa uniform katika masoko makubwa...
ni kwamba maisha yamekua busy saaana, watu wanashindwa kunawa nyumbani...ni kwamba uchafu wa cku hizi ni mgumu sana hauwezi kuondoka kwa njia ya kunawa kawaida home!!?cjui!!!
...lakini hilo dogo...njia ya kusafisha hizo nyayo na kucha ndo balaaa!!!kwanza ni mkaka anaefanya hiyo kazi...na sharti...
Three guys were working on a high rise building project: Steve, Bill and Charlie. Steve falls off and is killed instantly.
As the ambulance takes the body away, Charlie says, "Someone should go and tell his wife."
Bill says, "OK, I`m pretty good at that sensitive stuff, I`ll do it." 2...
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii ntaisolve vip?na yuko serious kabisa nikiwasha taa cpati kitu na anasema tuache na tulale...
mwana JF mwenzangu mm hili linanipa kichefuchefu, utakuta mtu yuko kwenye daladala (au sehemu yoyote ya hadhara) anaachama mdomo, anaanza kuchokoa meno, kutoa nyama au uchafu kwenye meno...aaaaarghhhh!!nimepanda gari toka moroko, mpaka avocado mikocheni, abiria mwenzangu cjui kala nyama ya PUNDA...
un BF wako, kutokana na majukumu inatokea mnakua na "long distant relationship"...mnapendana sana na ww binafsi hutaki kumpoteza...unapatwa na wazo la kutokumuamini labda kutokana na yeye kuwa kimya kidogo tu,..ila mkiwasiliana anasema "everything is fine and stuff, that he was jus tired" na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.