je nikimmwagia sperm mdomoni mwenzi wangu atapata madhara gani?...maana yeye huwa anapenda na analazimisha nifanye hivyo...
kuna tatizo anaweza pata kiafya?
Mkuu Dr. Riwa alishaleta majibu ya hii kitu, hasa madhara kwa kina dada. Kama sikumbuki hii kitu inasababisha kansa kwa wadada. Hata hivyo subiri wengine watakuja na majibu ya hii kitu mkuu
Haina ubaya. it is fine. but hakikisha anafanya hivo before umuingilie kungine, hasa kama mnapenda anal sex coz fauna na flora ya anal na vaginal tofauti na za mdomoni. ila sperm zenyewe sio mbaya.
Kweli kabisa! sinema zinatupoteza sana due to lack of academic endeavour! Mtz akiona mtu kachomwa kisu kwenye movie kesho yake mtu atapigwa kisu laivu uwanja wa fisi. Vitu vingine tunaiga tu, zile ni fix za watayarishaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.