Habari Wana JF,
Mnamo tarehe 13 Agosti 2021, Mtuhumiwa Ole Sabaaya katika kesi ya jinai ya kupora fedha kwa kutumia silaha mkoani Arusha inayomkabili, yeye na wenzake, milango ya utetezi iliwekwa wazi kwa watuhumiwa ili kuanza kutoa ushahidi wa kujitetea. Hii ilikua mara baada ya Mahakama kutoa...
Habari wana Jamii,
Nimekaa na kutafakari kuhusu kesi ya Ugaidi Ya Freeman Mbowe na Wenzake ambayo inakaribia kuanza mwezi ujao. Na ndio nikaamua kuanzisha hii thread maalum ya kuomba kesi hio irushwe "LIVE COVARAGE" kwa kutumia Channel Maalum (Za Bure) kama ilivyofanyika;
I) South Africa -...
Kwako Rais,
Najua itakufikia hii makala, ila sijui kama utaifanyia kazi.
Kumbuka, sisi wana JamiiForums (Mnaotuita Viherehere Wa Mitandaoni) kuanzia mwanzo wa safari yako ya Urais, speech zako za awali zilitupa moyo sana na kutufuta machungu ya awamu iliopita (Miaka 5 iliopita). Tulipata amani...
Habari Wana Kijiji,
Leo katika pita pita za kusoma habari mitandaoni, nimekutana na kali ya karne katika bara zima la Africa. Kenya wamevunja rekodi ya Rushwa katika bara la Africa (Kama Sio Duniani Kwa Ujumla).
Nirudi kwenye mada husika,
Siku za hivi karibuni, Rais Uhuru Kenyatta alikwenda...
Habari wana Jamvi,
Kuna huu mwimbo wa "Alikiba X Rude Boy - Salute" ambao umeachiwa karibu saa moja iliopita na Alikiba mwenyewe kwenye page zake.
Baada ya kuufungua na kuusikiliza, nikajikuta nakumbuka vita za kurushiana mawe za wana kijiji wenzangu JamiiForums, kati ya #TeamKiba na...
Habari Wana Kijiji,
Siku ya tarehe 10, mwezi May mwaka 2021, majira ya mchana hisia zilikua juu katika kijiji cha "AGORA" nchini Uganda mara baada ya aliekua mlinzi (Bodyguard) wa aliekua Rais Dikteta Milton Obote, bwana "VINCENT OBODO" kurejea kwenye familia yake na kukutana na wake zake...
Habari Wana Jamvi,
Habari za hivi punde zinasema kwamba Rocket Ya Uchina (Space Rocket) iliopata hitilafu juu ya anga, nje ya anga ya dunia, inatarajiwa kuanguka katika dunia weekend hii.
Licha ya kutegemewa kuanguka kwa Rocket hio kubwa, haijulikani itaanguka wapi na muda gani katika dunia...
Habari Wana Soka,
Taarifa za katika ulimwengu wa soka zinazohusiana na European Super League ilioandaliwa na team 12 kubwa barani ulaya zimechukua sura mpya.
Kutokana na taarifa hizo zinazoenea ni kwamba Real Madrid, Barcelona na Juventus zinajiandaa kuziburuza mahakamani Manchester United na...
Habari Wana Jamvi,
Ni kawaida kwa viongozi wa taifa letu kuwa vigeugeu katika misimamo yao na ukakasi katika matamko yao. Kiburi na majivuni yamekua kama nguo juu ya tabia zao. Pengine ni udhaifu waliokua nao na unaotokana na kutokua na elimu katika ya uongozi wa umma.
Kwa upande wetu raia...
Habari Wana Jamvi,
Zaidi ya biashara 140 zimefungwa Njombe ndani za siku 90, kuanzia January 2021 mpaka March 2021, kutokana na sababu tofauti tofauti, miongoni mwao madeni na masoko kufa.
Kwa ufupi,
Taarifa hii imewekwa wazi na Manager Msaidizi Wa Mamlaka Ya Mapato Mkoa Wa Njombe, Bwana...
Habari Wana Jamvi,
Katika pita pita za kuchambua, kudadisi, kufuatilia, kuchunguza na kuperuzi baadhi ya mambo yanayo endelea kwa maslahi ya taifa letu, mara baada ya report ya CAG kutoka na baadhi ya raia kuhoji kuhusu hatima ya project ambazo aliacha Marehemu Magufuli.
Raia tumefumbuliwa...
Habari Wana Jamii, Habari Wana Soka.
Leo ni "Afe Kipa, Afe Beki - Bukta Chanika, Boxa Vuuka - Lazima Kieleweke" limeanza amsha amsha na kuwekwa wazi kwa team vichwa ngumu barani ulaya, zilizoamua kusaliti kambi na kuanzisha League yake, hii ni baada ya kuona "UEFA & FIFA" ni wahuni na wapangaji...
Habari wana Jamvi,
Jumla ya Viungo Vya Uume (Penis) 7,221 vyenye asili ya Africa vimekamatwa na Wafanyakazi Wa Usalama Wa Bandari China katika meli ya mizigo iliotokea Lagos (Nigeria). Na kuweka historia ya kwamba ndio ukamataji ya viungo vya wanaadamu vingi kuwahi kutokea.
Viungo hivo ambavyo...
Habari Wana Jamvi,
Tukumbushane wabunge hawa wa CCM waliowasha moto bungeni kutaka Rais Magufuli aongezewe muda katika utawala wake, ikiwezekana waliomba hata katiba ya nchi ibadilishwe ili imruhusu kutawala kwa mihula mingine (Na kama angekataa basi alazimishwe atake asitake);
1) Deo Sanga -...
Habari wana Kijiji,
Nimekaa na kutafakari sana mambo ya "KITAMADUNI YA KIJESHI" yaliofanyika katika mazishi ya Hayati Rais Magufuli. Hakika jeshi linahitaji pongezi za hali ya juu kwa usanifu wa kazi zao na tamaduni zao walizo rithishwa toka enzi na enzi (Japo ni wajibu wao).
Miongoni mwa...
Habari wana Kijiji,
Katika pirika pirika za hapa na pale kusoma taarifa za habari, nimekutana na mahojiano aliofanya tajiri wa marekani mnamo tarehe 27 January 2021, tajiri huyo miongoni mwa matajiri wa dunia alipokua akihijiwa na The Cable, Bill Gates.
Katika mahojiano hayo, Bill Gates...
Habari Wana Kijiji,
Kwa muda tunapost thread nyingi ni za kuomba msaada/umbea/habari na kupeana ushauri. Leo nimeamua kuja na thread hii ya kufundisha/kukumbusha/kuelimisha na kutahadharisha.
Ukimwi (H.I.V) kwa maisha ya sasa si HUKUMU YA KIFO TENA kama ilivyokua hapo awali. Gonjwa hili...
Habari Wana Kijiji,
Habari za hivi punde zilizo wasilishwa na wana familia sambamba na vyombo vya habari ni kuwa "NAIBU WAZIRI MKUU WA UGANDA MR. ALI KIRUNDA KIVEJINJA" afariki dunia.
Mungu ailaze roho ya marehemu pahali inapostahiki.
=======
Uganda’s second deputy Prime Minister, Kirunda...
Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka...
Habari WanaJF,
Kwa masikitiko makubwa naandika makala hii kumkumbusha "MSOMI" Prof. Palamagamba Kabudi (Waziri Wa Mambo Ya Nje) madhara ya kauli yake ya kichochezi. Nina amini kwa elimu aliokua nayo anatambua na kuelewa nitakacho andika.
Kwa mamlaka uliopewa kisheria, kama Waziri Wa Mambo Ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.