Search results

  1. V

    SoC02 Baada ya Sensa ya 23, Agosti 2022, Tuhamie kwenye Sensa Endelevu. Teknolojia imekua

    UTANGULIZI: Sensa ya watu na makazi ni nini? Ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusambaza takwimu za kidemographia, kiuchumi na kijamii kuhusiana na watu wote na makazi yao katika nchi kwa kipindi maalum. Kwa maana nyingine, sensa ni zoezi maalum lenye lengo la...
  2. V

    Nahisi Dogo anataka kuniingiza mjini, ni kweli kuna fomu za kulipia elfu 40 ili ufanye mtihani wa QT?

    Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani. Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=. Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye...
  3. V

    HESLB acheni kuzingua, kwanini hamtatui tatizo langu? mnasema mnalifanyia kazi zaidi ya masaa 4?

    Nimelipia Application fee halafu mfumo wenu unasema bado sijalipa na kuonesha control namba hiyo hiyo niliyoitumia kulipia. Nimewasilisha tatizo langu kwenu mnasema mnalifanyia kazi tangu saa 7 mchana hadi muda huu bado hamjamaliza, kweli? Kesho ndio mwisho wa kutuma maombi, kwa nini mnataka...
  4. V

    Forwarded Call ni nini? Nawezaje kuzuia hili tatizo?

    Habari wana JF, Poleni na mihangaiko ya weekend. Kuna tatizo hapa linanitatiza, nimeshindwa namna ya kulitatua, naombeni msaada wenu. Katika kipindi cha likizo ya Corona nilipokuwa na mwenzangu nilikuwa naweka line yake kwenye simu yangu ili nitumie kifurushi cha MB alichojiunga kupitia line...
  5. V

    Nataka nifanye biashara ya Mihogo, Viazi, Magimbi. Ni sehemu gani naweza kuvipata kwa bei ya jumla hasa mashambani

    Habari wakuu, Poleni na mapambano dhidi ya Corona, mapambano ya kutafuta riziki na poleni kwa mfungo kwa wale waliofunga. Kichwa cha uzi kinajieleza, katika kipindi hiki cha mfungo nataka nifanye hii biashara ila sijui sehemu nitakapopata mzigo, nimejaribu kuwauliza watu wanaofanya hii biashara...
  6. V

    Natafuta Chumba cha kupanga Kibaha mjini, naomba msaada wenu.

    Nahitaji chumba cha kupanga almaarufu kama GETO Kibaha mjini. Kikipatikana maeneo ya Maili moja itapendeza zaidi. Kiwe na huduma muhimu kama umeme, maji(hata yakiwa kwa upatikanaji wa kuchota kwenye bomba karibu ni sawa tu). Kwa wenyeji na wazoefu wa mji wa kibaha kuhusu upangaji naombeni...
  7. V

    Nataka nimsomeshe mdogo wangu Qualifying Test(QT), naombeni ushauri wenu.

    Habari zenu Wana JF. Heri ya Mwaka Mpya wote. Ni matumaini yangu wengi wetu hatujambo na tunaendelea kusherehekea vizuri mwaka mpya, na wale ambao kwa namna moja au nyingine hawako salama. Mungu awajalie waweze kurejea katika hali zao za kawaida. Nende kwenye mada. Miongoni mwa malengo yangu...
  8. V

    Nilipata Supplementary kwa kipindi chote cha Miaka 4 Chuoni, hatimaye nitavaa joho hivi punde

    Waswahili(wahenga) walisema ''Mungu si Athumani" pia ''Mungu hamtupi mja wake" Nilipata supp kwa kipindi chote cha miaka 4 nikiwa napambana na elimu yangu ya juu. Haikuwa jambo dogo hatimaye ndoto imetimia, ni furaha isiyokuwa na kifani. Sasa nimepita hatua moja na kuelekea hatua nyingine...
  9. V

    Msaada: Nimekwama kwenye hatua baada ya Payment wakati wa kufanya Application UDOM

    Habari zenu wakuu. Nilikuwa nafanya Application ya Chuo Kikuu Dodom(UDOM), nilikuwa nimefika kwenye hatua ya kulipa Application fee kwa njia ya mtandao simu(Tigo). Nimelipia na nimetumiwa code za kukamilisha malipo, niliigiza hizo code na malipo yakakamilika, baada ya malipo kukamilika...
  10. V

    Kuingia Period kabla ya muda, Tatizo ni nini? Naomba msaada.

    Ndugu yangu ameingia kwenye siku zake(hedhi) maarufu kama Period kabla ya muda. Kwa mwezi huu mzunguko ulitokea tarehe 6 hadi 10. Lakini leo kaona siku zake tena. Tangu aanze kupata siku zake hajawahi kutokewa na hali ya kuwahi au kuchelewa kupata hedhi kwenye mzunguko wa siku zake...
  11. V

    Singida health laboratory assistants school mnatoa matokeo lini ya basic technician certificate in community health?

    Wanafunzi wamehitimu mwezi wa kumi mwaka jana hadi sasa matokeo bado hayajatoka. Tatizo ni nini? Mtayatoa lini hayo matokeo? Kwa nini mnachelewesha matokeo kiasi hicho hadi wanafunzi wanakataa tamaa juu ya walichokisomea? Wanafunzi wanahangaika kufuatilia lakini mumekaa kimya bila kutoa...
  12. V

    Msaada: Application nzuri ya Android ya ku-edit Picha

    Habari za wakati huu wana JF Kama kichwa cha habri kinavyojieleza hapo juu Naomba yoyote anayejua App nzuri ya ku edit picha( ama kufuta maneno kwenye picha kwa colouring au kuongeza maneno kwenye picha) Naomba unitajie jina ili niiende Play store nikaipakue Ahsanteni!!
  13. V

    Simu inauzwa, Galaxy Note5

    Ndugu yangu anauza simu tajwa hapo juu Bei ni 645,000/= Imetumika kwa muda wa miezi 7. Yupo Dar es Salaam, wasiliana naye WhatsApp 0769382651
  14. V

    Msaada: Vitu gani vya kuangalia ili kujua Smartphone ambayo ni Original au Fake

    Habari za asubuhi wana JF. Kama ilivyo kawaida na ilivyozoeleka kwa mfanya biashara yeyote akiwa katika kazi yake ni lazima aitangaze bidhaa yake kwa namna mbalimbali ili kumvutia mteja. Kwenye hii biashara ya wauzaji wa simu za kidigital(smartphones) kwenye maduka madogo madogo ya rejareja...
  15. V

    Msaada: Chuo cha kiislamu kinachofundisha kozi ya IT kwa ngazi ya cheti-jijini Dar es salaam

    Habari za jioni wana JF. Poleni sana na pilika pilika za kutwa nzima za kutafuta riziki. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba kwa yeyote anayejua chuo cha Kiislamu jijini Dar es Salaam kinachotoa mafunzo ya kozi ya IT kwa ngazi ya cheti kwa gharama nafuu isiyozidi Milioni 1...
  16. V

    Msaada: Njia rahisi ya kufika Daraja la Kigamboni

    Habari za Jumapili wana JF Zikiwa yamesalia masaa machache tuuage mwaka 2017 na kuukaribisha mwaka 2018. Leo nimeona nitembelee hiyo sehemu tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari, kwani sijawahi kufika tangu hilo daraja likamilike. Sehemu kama hii ni mojawapo ya recreation place sio vibaya...
  17. V

    Nikaribisheni JamiiForums

    Habari za muda huu wote wapenzi wa mtandao huu Nimejiunga na huu mtandao mnamo Dec 2, 2017. Nimefurahishwa sana na namna mijadala inavyoendeshwa humu na nimehasika sana. Tangu nijiunge nilikuwa nashindwa namna ya kuanzisha mada kwani na mimi baada ya kuona mada mbalimbali zinaletwa humu na...
Back
Top Bottom