Nahisi Dogo anataka kuniingiza mjini, ni kweli kuna fomu za kulipia elfu 40 ili ufanye mtihani wa QT?

Vitamin K

Senior Member
Dec 2, 2017
158
168
Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani.

Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=.

Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye kituo cha mtihani akapewe hiyo fomu aniletee nije niione ila kasema fomu zinajazwa huko huko na haziwezi kutoka nje.

Nikaamua kuulizia kwa mtu amesema hamna kitu kama hiki(fomu) na kasema nimedanganywa.

Naomba kuuliza tena hapa jukwaani, je hizo fomu za kulipia elfu 40 kwa wanafunzi wa QT ili waje wafanye mtihani, zipo? Au Dogo anataka kuniingiza mjini
 
Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani.

Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=.

Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye kituo cha mtihani akapewe hiyo fomu aniletee nije niione ila kasema fomu zinajazwa huko huko na haziwezi kutoka nje.

Nikaamua kuulizia kwa mtu amesema hamna kitu kama hiki(fomu) na kasema nimedanganywa.

Naomba kuuliza tena hapa jukwaani, je hizo fomu za kulipia elfu 40 kwa wanafunzi wa QT ili waje wafanye mtihani, zipo? Au Dogo anataka kuniingiza mjini
We toa 40 io
 
Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani.

Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=.

Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye kituo cha mtihani akapewe hiyo fomu aniletee nije niione ila kasema fomu zinajazwa huko huko na haziwezi kutoka nje.

Nikaamua kuulizia kwa mtu amesema hamna kitu kama hiki(fomu) na kasema nimedanganywa.

Naomba kuuliza tena hapa jukwaani, je hizo fomu za kulipia elfu 40 kwa wanafunzi wa QT ili waje wafanye mtihani, zipo? Au Dogo anataka kuniingiza mjini
vitu vingine tunaaamuaga kupotezea tu kama wazazi, mtotot hawez kukuomba hela ya kuhonga au kununua vocha, otherwise unataka akaibe, mpe ile mwambie siyo kweli nexttime atafute uongo mwingine!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom