Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani.
Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=.
Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye kituo cha mtihani akapewe hiyo fomu aniletee nije niione ila kasema fomu zinajazwa huko huko na haziwezi kutoka nje.
Nikaamua kuulizia kwa mtu amesema hamna kitu kama hiki(fomu) na kasema nimedanganywa.
Naomba kuuliza tena hapa jukwaani, je hizo fomu za kulipia elfu 40 kwa wanafunzi wa QT ili waje wafanye mtihani, zipo? Au Dogo anataka kuniingiza mjini
Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo zinalipiwa kwa Tsh 40,000/=.
Hiki kitu sijawahi kukisikia nimepata mashaka, nimemwambia dogo aende kwenye kituo cha mtihani akapewe hiyo fomu aniletee nije niione ila kasema fomu zinajazwa huko huko na haziwezi kutoka nje.
Nikaamua kuulizia kwa mtu amesema hamna kitu kama hiki(fomu) na kasema nimedanganywa.
Naomba kuuliza tena hapa jukwaani, je hizo fomu za kulipia elfu 40 kwa wanafunzi wa QT ili waje wafanye mtihani, zipo? Au Dogo anataka kuniingiza mjini