Msaada: Vitu gani vya kuangalia ili kujua Smartphone ambayo ni Original au Fake

Vitamin K

Senior Member
Dec 2, 2017
158
168
Habari za asubuhi wana JF.

Kama ilivyo kawaida na ilivyozoeleka kwa mfanya biashara yeyote akiwa katika kazi yake ni lazima aitangaze bidhaa yake kwa namna mbalimbali ili kumvutia mteja.

Kwenye hii biashara ya wauzaji wa simu za kidigital(smartphones) kwenye maduka madogo madogo ya rejareja, wauzaji wanajitahidi kuwavutia wateja kwa mbinu mbalimbali mojawapo ikiwa ni kuwaonesha ubora wa camera ya simu.

Ukienda dukani mara nyingi hawa wauzaji wa simu wanawahi kukuonesha camera jinsi inavyoweza kupiga picha wewe mwenyewe maarufu kama selfie.

Sidhani hicho ndio kama kigezo cha ubora wa simu(original), maana simu inaweza kuwa na camera nzuri lakini ikawa fake, na simu nyingine inaweza ikawa na camera yenye ubora wa hali ya chini(low quality) lakini ikawa original na imara.

Wakuu, ni vitu gani vya kuangalia ili kujua hii simu ni original au fake pindi unapokuwa unanunua simu.

Karibuni tujuzane wakuu.
 
Nenda Madukani Ambapo Wao Ni Super Agents
Ama Mlimani City Kuna Samsung Mobile Shop, iPhone (I Store)
Na Maduka Mengi Sana Ambayo Yanakufanyia Usajiri Kwa Mtandao

Kariakoo, Postal
 
zote Tanzania ni feki labda kama mtu kanunua nje (ulaya au Marekani) akaja nayo
Habari za asubuhi wana JF.

Kama ilivyo kawaida na ilivyozoeleka kwa mfanya biashara yeyote akiwa katika kazi yake ni lazima aitangaze bidhaa yake kwa namna mbalimbali ili kumvutia mteja.

Kwenye hii biashara ya wauzaji wa simu za kidigital(smartphones) kwenye maduka madogo madogo ya rejareja, wauzaji wanajitahidi kuwavutia wateja kwa mbinu mbalimbali mojawapo ikiwa ni kuwaonesha ubora wa camera ya simu.

Ukienda dukani mara nyingi hawa wauzaji wa simu wanawahi kukuonesha camera jinsi inavyoweza kupiga picha wewe mwenyewe maarufu kama selfie.

Sidhani hicho ndio kama kigezo cha ubora wa simu(original), maana simu inaweza kuwa na camera nzuri lakini ikawa fake, na simu nyingine inaweza ikawa na camera yenye ubora wa hali ya chini(low quality) lakini ikawa original na imara.

Wakuu, ni vitu gani vya kuangalia ili kujua hii simu ni original au fake pindi unapokuwa unanunua simu.

Karibuni tujuzane wakuu.
nua
 
njia ya uhakika kabisa ni kutumia Application ya cpu-z hii app itakuonesha hardware za ndani za simu. ziangalie halafu google specs za hizo simu online halafu linganisha.

zikifanana ni original na zisipofanana ni fake.

mfano simu yako ni samsung galaxy s5
images


ukirun cpu z utaona soc yake ni snapdragon 801 ina krait 400 core zipo nne, gpu ya adreno na manufacturing process ya 28nm.

ukishaona hivyo unaingia google unaandika galaxy s5 specs na kuclick link kuziangalia (gsmarena ni wazuri kwenye specs) ukiona zinafanana hio ni original.

njia nyengine ni kuangalia imei, unaweza ukaangalia imei ya simu na kuidumbukiza kwenye website ya kuangalizia imei na itakupa information za simu, tumia hata site ya tcra inafaa
IMEI Code Verification

mfano simu ni s5 na imei inasema simu nyengine jua hio.simu ina matatizo.

ila njia hii sio 100% true, mtu anaweza akakubambikia imei feki.
 
njia ya uhakika kabisa ni kutumia Application ya cpu-z hii app itakuonesha hardware za ndani za simu. ziangalie halafu google specs za hizo simu online halafu linganisha.

zikifanana ni original na zisipofanana ni fake.

mfano simu yako ni samsung galaxy s5
images


ukirun cpu z utaona soc yake ni snapdragon 801 ina krait 400 core zipo nne, gpu ya adreno na manufacturing process ya 28nm.

ukishaona hivyo unaingia google unaandika galaxy s5 specs na kuclick link kuziangalia (gsmarena ni wazuri kwenye specs) ukiona zinafanana hio ni original.

njia nyengine ni kuangalia imei, unaweza ukaangalia imei ya simu na kuidumbukiza kwenye website ya kuangalizia imei na itakupa information za simu, tumia hata site ya tcra inafaa
IMEI Code Verification

mfano simu ni s5 na imei inasema simu nyengine jua hio.simu ina matatizo.

ila njia hii sio 100% true, mtu anaweza akakubambikia imei feki.
Amin.
 
njia ya uhakika kabisa ni kutumia Application ya cpu-z hii app itakuonesha hardware za ndani za simu. ziangalie halafu google specs za hizo simu online halafu linganisha.

zikifanana ni original na zisipofanana ni fake.

mfano simu yako ni samsung galaxy s5
images


ukirun cpu z utaona soc yake ni snapdragon 801 ina krait 400 core zipo nne, gpu ya adreno na manufacturing process ya 28nm.

ukishaona hivyo unaingia google unaandika galaxy s5 specs na kuclick link kuziangalia (gsmarena ni wazuri kwenye specs) ukiona zinafanana hio ni original.

njia nyengine ni kuangalia imei, unaweza ukaangalia imei ya simu na kuidumbukiza kwenye website ya kuangalizia imei na itakupa information za simu, tumia hata site ya tcra inafaa
IMEI Code Verification

mfano simu ni s5 na imei inasema simu nyengine jua hio.simu ina matatizo.

ila njia hii sio 100% true, mtu anaweza akakubambikia imei feki.
Shukrani mkuu, naamini umemtoa tongo tongo mleta mada
 
njia ya uhakika kabisa ni kutumia Application ya cpu-z hii app itakuonesha hardware za ndani za simu. ziangalie halafu google specs za hizo simu online halafu linganisha.

zikifanana ni original na zisipofanana ni fake.

mfano simu yako ni samsung galaxy s5
images


ukirun cpu z utaona soc yake ni snapdragon 801 ina krait 400 core zipo nne, gpu ya adreno na manufacturing process ya 28nm.

ukishaona hivyo unaingia google unaandika galaxy s5 specs na kuclick link kuziangalia (gsmarena ni wazuri kwenye specs) ukiona zinafanana hio ni original.

njia nyengine ni kuangalia imei, unaweza ukaangalia imei ya simu na kuidumbukiza kwenye website ya kuangalizia imei na itakupa information za simu, tumia hata site ya tcra inafaa
IMEI Code Verification

mfano simu ni s5 na imei inasema simu nyengine jua hio.simu ina matatizo.

ila njia hii sio 100% true, mtu anaweza akakubambikia imei feki.
Chief samahani natoka nje ya mada kidogo,samsung note 4 na lg g5 ipi simu nzuri zaidi?
 
njia ya uhakika kabisa ni kutumia Application ya cpu-z hii app itakuonesha hardware za ndani za simu. ziangalie halafu google specs za hizo simu online halafu linganisha.

zikifanana ni original na zisipofanana ni fake.

mfano simu yako ni samsung galaxy s5
images


ukirun cpu z utaona soc yake ni snapdragon 801 ina krait 400 core zipo nne, gpu ya adreno na manufacturing process ya 28nm.

ukishaona hivyo unaingia google unaandika galaxy s5 specs na kuclick link kuziangalia (gsmarena ni wazuri kwenye specs) ukiona zinafanana hio ni original.

njia nyengine ni kuangalia imei, unaweza ukaangalia imei ya simu na kuidumbukiza kwenye website ya kuangalizia imei na itakupa information za simu, tumia hata site ya tcra inafaa
IMEI Code Verification

mfano simu ni s5 na imei inasema simu nyengine jua hio.simu ina matatizo.

ila njia hii sio 100% true, mtu anaweza akakubambikia imei feki.
Mkuu tumekuelewa, lkn hayo yote unayafanya ukiwa dukani kwa muuzaji? Utapata muda wakupembua yote hayo! Na inabidi tuwe na smartphone wakati tukiwa dukani.
 
Mkuu tumekuelewa, lkn hayo yote unayafanya ukiwa dukani kwa muuzaji? Utapata muda wakupembua yote hayo! Na inabidi tuwe na smartphone wakati tukiwa dukani.
kwa imei unaweza kufanya hapo hapo dukani kwa kutumia simu nyengine au laptop au kifaa chengine cha internet. imei utaipata kwenye box la simu mpya au kwa kuiwasha na kubonyeza *#06# kwenye simu mpya.

pia hakikisha unachukua warranty unaponunua simu, cpu z na njia nyengine uzifanye ukiwa umetulia, kama ni ya kichina sababu una warranty unairudisha.
 
Back
Top Bottom