Nimelipia Application fee halafu mfumo wenu unasema bado sijalipa na kuonesha control namba hiyo hiyo niliyoitumia kulipia.
Nimewasilisha tatizo langu kwenu mnasema mnalifanyia kazi tangu saa 7 mchana hadi muda huu bado hamjamaliza, kweli?
Kesho ndio mwisho wa kutuma maombi, kwa nini mnataka kunikwamisha kutokana na mfumo wenu? Mtanilipa hela yangu baada ya kufunga dirisha la maombi?
HESLB acheni ukanjanja...
Nimewasilisha tatizo langu kwenu mnasema mnalifanyia kazi tangu saa 7 mchana hadi muda huu bado hamjamaliza, kweli?
Kesho ndio mwisho wa kutuma maombi, kwa nini mnataka kunikwamisha kutokana na mfumo wenu? Mtanilipa hela yangu baada ya kufunga dirisha la maombi?
HESLB acheni ukanjanja...