Habari wakuu, Poleni na mapambano dhidi ya Corona, mapambano ya kutafuta riziki na poleni kwa mfungo kwa wale waliofunga.
Kichwa cha uzi kinajieleza, katika kipindi hiki cha mfungo nataka nifanye hii biashara ila sijui sehemu nitakapopata mzigo, nimejaribu kuwauliza watu wanaofanya hii biashara ila sijafanikiwa kuelezwa na nimebaini wanakataa kunieleza kutokana na interest za kibiashara(ushindani).
Ndugu zangu wana JF naomba mnieleze ni wapi naweza kupata mzigo wa bidhaa mojawapo kati ya hizo au zote, sehemu ikiwa ni Pwani au karibu na Pwani(Moro n.k) itakuwa ni vizuri zaidi. Biashara nitaifanyia Kibaha.
Pia naomba nielezwe gharama za kununua na kusafirisha mzigo kuanzia gunia moja.
Ahsanteni.
Tuchukue tahadhari na Tujikinge na Corona
Kichwa cha uzi kinajieleza, katika kipindi hiki cha mfungo nataka nifanye hii biashara ila sijui sehemu nitakapopata mzigo, nimejaribu kuwauliza watu wanaofanya hii biashara ila sijafanikiwa kuelezwa na nimebaini wanakataa kunieleza kutokana na interest za kibiashara(ushindani).
Ndugu zangu wana JF naomba mnieleze ni wapi naweza kupata mzigo wa bidhaa mojawapo kati ya hizo au zote, sehemu ikiwa ni Pwani au karibu na Pwani(Moro n.k) itakuwa ni vizuri zaidi. Biashara nitaifanyia Kibaha.
Pia naomba nielezwe gharama za kununua na kusafirisha mzigo kuanzia gunia moja.
Ahsanteni.
Tuchukue tahadhari na Tujikinge na Corona