Simu inauzwa, Galaxy Note5

Simu inauzwa, Galaxy Note5

Vitamin K

Senior Member
Joined
Dec 2, 2017
Posts
158
Reaction score
168
Ndugu yangu anauza simu tajwa hapo juu

Bei ni 645,000/=

Imetumika kwa muda wa miezi 7.

Yupo Dar es Salaam, wasiliana naye WhatsApp 0769382651
 

Attachments

  • FB_IMG_1518550241835.jpg
    FB_IMG_1518550241835.jpg
    15.9 KB · Views: 62
Bei ya mwisho
unauliza bei wakati picha hujaiona? kwa taarifa yako hiyo picha ni ya kudownload mtandaoni aweke picha halisi na ogopa sana mtu anayetumia nafsi ya mtu mwingine kuwasilisha tangazo haswa la uuzaji ni dalili ya kwanza ya change la macho kwa sisi wenye kuona kwa jicho la tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom