Mimi ni mteja wa hii kampuni kuanzia Tritel hadi kampuni kuuzwa kwenda Mobitel pia kampuni ikauzwa kwenda Buzz hadi leo hii kufikia kampuni kuitwa TIGO. Mimi yule yule nipo tu na hata namba ni ile ile tu.
Tatizo kubwa ni pale nikitaka kujiunga Siku Bonus ya Internet napata ofa ya 2000=1GB kwa...
Naimani wana JF wenzangu wote hamjambo na asubuhi njema hii, bila ya kuelezea sana turejee kwenye mada yetu
kujiunga tigo size yako, unapata dakika kadhaa na gb2.5 kwa sh 2500 wiki nzima.
Cha ajabu hizo mb 2500 ni wizi mtupu sijaingia youtube wala twitter wala sija download kitu na pia na...
Bila ya kuchelewesha muda Wana JF wenzangu, nirejee katika mada kwa yaliyonikuta, nikiwa safarini kutokea Dodoma kuelekea Mwanza na Ally's Star Bus.
Ilikuwa ni alfajiri ya saa12 asubuhi tulipoanza safari yetu, nikiwa nimekaa kwenye seat yangu ilikuwa ni namba moja (Extra One).
Baaada ya kupita...
Kuna jeshi la migambo
Kuna jeshi la police
Kuna jeshi la FFU
Kuna jeshi la JWTZ.. [emoji134]
Eti tuna bishana ni jeshi lipi likiingia mtaani lazima pawe kimyaaaa...[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamvi bila ya kusita masema toka moyoni kwangu mimi sina chama wala sio mwana siasa
Lakini wallahy kama rais magu hajapita ktk uchaguzi wa 2020 ntaandama,potelea mbali wacha nife,jina langu na kumbukumbu itabaki kwa wana JF wenzangu[emoji1321]♂️
Wanajamvi naomba mnijuze jinsi gani ya kumpata yule mwewe wa clouds Tv, manake sisi wakazi wa huku kirumba mwanza tumechoshwa na mgao wa umeme na barabara zimeoza
Bila ya kupoteza muda, natumai wote mpo salama, wanajamvi,
Ningependa tuchangie hoja katika uzi kuwa ni kipi ama kitu gani unacho kikumbuka sana alichokufanyia mkeo ama mumeo wakati bado mkiishi pamoja.
Kwa mimi binafsi hakuna kitu ninacho kimiss kwa mama watoto wangu kabla ya kutengana nae...
_____________________________________
*AINA NANE ZA WANAUME HATARI.*
*↓↓ 1-ASIE PENDA KUFANYA KAZI AKISUBIRI ALISHWE NA MKE.*
Huyu ni hatari kwa sababu hatokuwa na ujasiri wa kumkemea mke pale anapokosea kwa kukhofia mke asije kasirika na kusitisha huduma ya kuilisha familia.
*↓↓ 2-ADHWWAAQ...
Rais wa Marekani amewafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia waliopo nchini humo na Rais wa baraza la Ulaya Donald Tusk amesema wanachama 14 wa umoja wa Ulaya utawafukuza wanadiplomasia wa Russia kwa kile alichodai kuunga mkono Uingereza ambao ndio walioanza kuwaondoa wanadiplomasia Russia kwa kile...
Habarini wakuu,
Kama mada inavojieleza hapo juu. Sioni sababu ya kusema mengi saana
Isipokuwa hakuna siku ambayo sintoisahau kama ile sikukuu ya VALENTINE DAY.
Nilimdanganya dem wangu kuwa nimepata safari ya ghafla ya kwenda Dar kikazi,
Huku nikawa nimeshampanga mchepuko wangu ntatoka nae...
Habari za Jumapili wanajamvi wenzangu,
Leo nimekuja hapa kutoa mapendekezo tu au niseme kwa mtazamo wangu binafsi hii reli yetu inayojengwa kwasasa hapa nchini siku ikikamilika ipewe jina la MAGUFULI TRAIN.
Nasema haya kwasababu hii project ya Standard Gauge ni historia ktk nchi yetu kuwa na...
Msaada wakuu:-Najiuliza saaana lkn sijapata bado jibu lake, hivi inakuaje mbunge wa chama fulani wa jimbo flani ameng’atuka rasmi ubunge na kukihama chama chake na kujiunga na chama fulani,
Yaani mtu anaweza kufanya maamuzi kama hayo na kuutema mshahara wa ubunge, posho za bungeni, mkopo wa...
Wanajamvi hatimae nimerejea tena kwenu kuhusiana na hili swala la ukifanyiwa kitendo na mtu ama mwenzako unajihisi sio poa kabisa
Kwa mimi binafsi nikimpigia mtu simu halaf akaikata hua najisikia vibaya saana
Sasa sijui na nyinyi wenzangu ni kitu gani ukifanyiwa unajihisi sio poa
Habarini wafugaji wenzangu natumai nyote ni wazima.
Kama mada inavyojieleza hapo juu,nia hasa nikupeana ushauri juu ya ufugaji wetu wa kuku,na kuambizana jinsi gani ya kupambana na maradhi yanayowasibu kuku zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.