Wahenga Mpo?

Wahenga Mpo?

stickvibration

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
3,226
Reaction score
5,150
Hii ilikuwa ni Awamu gani?

IMG_5663.JPG
 
soda iliiitwa fahari sh 70 kama sikosei,std 1hiyo,forodhani PS,chips shilingi Mia,1993.wahenga wengine mtaongezea.
 
Dah nimekumbuka chips sahani 250 kwa kushuru au pdidy Jangwani hiyo

Mihogo kwa kaseja mmoja 30 miwili kwa 50..unashushia na pinquin Basi akhaa!
 
Dah nimekumbuka chips sahani 250 kwa kushuru au pdidy Jangwani hiyo

Mihogo kwa kaseja mmoja 30 miwili kwa 50..unashushia na pinquin Basi akhaa!

Ilikua raha sana aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom