stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Kwa wale wana JF wenzangu wenye kutegemea maji ya visima watapata tabu saana kuvilipia
Inashangaza kweliHalafu kuna watu wanatetea jambo hili la kihuni kwa wananchi!!
Hao watu kwa mujibu wa utafiti, nanukuu "mshipa wao wa akili umeungana na mshipa wa mavi"Halafu kuna watu wanatetea jambo hili la kihuni kwa wananchi!!
Serikali inakosea sana kwenye hili, mita 15, sehemu zingine lazima uende chini zaidi hadi mita 60 kupata maji.
Wajikite zaidi kuangalia usalama wa maji, sio kuwasumbua wadau.
Maji ni uhai, ni muhimu sana ili kuishi, kuoga, kupika, kunywa, usafi wa nyumba, tuwe na utu, ubinadamu.
Serikali iangalie upya hili wazo/ sera yao.
They are thinking to tax life itself, poor them!
Profesa hajajibu swali, kaulizwa iwapo je mtu ana kisima kina urefu wa zaidi ya mita 15 lakini maji anayotumia ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani tu ( kunywa, kufulia na kupikia) je atahitaji kulipia?. Kakwepa hili swali.
Hili swali ni zuri na la msingi kwa sababu siyo kila sehemu maji yanapatikana ndani ya mita 15
Kisima ambacho hakizidi mita 15 ni cha mkono, kiuhalisia dar tumechimba vya kuanzia mita 80, atoe majibu either tufukie tuendelee kupata tabu au wanatutoza fine kiasi gani, then na sisi tuende mahakamani kudai huduma za maji kama hizo zilizopo ikulu tupate na huku mbagala
Haya ndio madhara ya kuikumbatia ccm
Wengi hawakua wakiamini kua yatatupata wote
Sasa hakuna kulalamika nikutii matakwa bila shuruti hakuna nama
Baadae itakuja pia tozo ya kuangaziwa na jua tozo ya kupua
Mtaewa tu