stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Msaada wakuu:-Najiuliza saaana lkn sijapata bado jibu lake, hivi inakuaje mbunge wa chama fulani wa jimbo flani ameng’atuka rasmi ubunge na kukihama chama chake na kujiunga na chama fulani,
Yaani mtu anaweza kufanya maamuzi kama hayo na kuutema mshahara wa ubunge, posho za bungeni, mkopo wa gari(kilimo kwanza)posho za ziara jimbo kwake na marupurupu kibao.
KILA NIKITAFAKARI SILIPATI JIBU
Kwamwenye mtazamo zaidi naomba na mimi anifahamishe vizuri wanajamvi wenzangu
Yaani mtu anaweza kufanya maamuzi kama hayo na kuutema mshahara wa ubunge, posho za bungeni, mkopo wa gari(kilimo kwanza)posho za ziara jimbo kwake na marupurupu kibao.
KILA NIKITAFAKARI SILIPATI JIBU
Kwamwenye mtazamo zaidi naomba na mimi anifahamishe vizuri wanajamvi wenzangu