stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Msaada kwa mwenye kufahamu soko la samaki aina ya kambale anifahamishe
Ninao wengi saaana ktk bwawa langu
Ninao wengi saaana ktk bwawa langu
Mkuu wewe si ndo muuzajiMkuu unanunuaje kwa kilo ni bei gani
Weka bei, sehemu ulipo na namba za simu.Msaada kwa mwenye kufahamu soko la samaki aina ya kambale anifahamishe
Ninao wengi saaana ktk bwawa langu
Kwan wasabato wanapenda kambale sana mkuu?Nenda kaadvertise kwenye mikutano na makanisa ya sabato.
Sanaaa.Kwan wasabato wanapenda kambale sana mkuu?
Mkuu wewe si ndo muuzaji
Unaniambia nauza kiasi fulani kwa pesa kadhaa
Mie nakuitikia ama nakukatalia.
Nipe bei yako per kg na location.ili nijumlishe na usafiri nione kama itanifaa.
Matangazo mengine Majanga uko wapi,Bei gani?
Mbona mjasiriamali mkali sana!!!We mbururaaa angelia juu bei ipo
Majanga wewe kama una Nia una Pm tu
Halaf ndio utaona majanga yako wapi
Sio unabwabwaja tu ili na wewe uonekane umebwabwaja
I hope umenielewa
Weye makalio ya senene, ukiulizwa swali jibu kama mwanabiashara.Unajibu kihuni hadi unapigwa ban!We mbururaaa angelia juu bei ipo
Majanga wewe kama una Nia una Pm tu
Halaf ndio utaona majanga yako wapi
Sio unabwabwaja tu ili na wewe uonekane umebwabwaja
I hope umenielewa