Naomba msaada wa kuwapata wataalamu wa Cyber Crime

Nenda karipoti polisi kwanza. Hao ndio watathibitisha kuwa wewe ni mmiliki na sio tapeli unayetaka kudhulumu simu ya watu
 
Sikukatishi tamaa ila Mkuu IMEI namba inabadilishwa ndani ya dakika kadhaa, kama ni samsung yaweza kusoma sony, nokia n.k

Kwa kweli TCRA iongeze mitambo ya kisasa zaidi.

Pili Mkuu kibongo bongo kukamatwa kwa njia ya kutrace ni ngumu mno, sana sana watajua yupo kijiji kipi. Mbali na hapo itabidi watumie data za mtu anaishi wapi n.k kupitia NIDA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukatishi tamaa ila Mkuu IMEI namba inabadilishwa ndani ya dakika kadhaa, kama ni samsung yaweza kusoma sony, nokia n.k

Kwa kweli TCRA iongeze mitambo ya kisasa zaidi.

Pili Mkuu kibongo bongo kukamatwa kwa njia ya kutrace ni ngumu mno, sana sana watajua yupo kijiji kipi. Mbali na hapo itabidi watumie data za mtu anaishi wapi n.k kupitia NIDA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwani kuna uwezekano wa kuibadili IMEI namba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukatishi tamaa ila Mkuu IMEI namba inabadilishwa ndani ya dakika kadhaa, kama ni samsung yaweza kusoma sony, nokia n.k

Kwa kweli TCRA iongeze mitambo ya kisasa zaidi.

Pili Mkuu kibongo bongo kukamatwa kwa njia ya kutrace ni ngumu mno, sana sana watajua yupo kijiji kipi. Mbali na hapo itabidi watumie data za mtu anaishi wapi n.k kupitia NIDA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisa mkuu, muhimu ni kutoa ushirikiano. Kuna njia ambayo polisi huitumia wakishindwa kutrace mojakwamoja (sitaiweka hapa ili kutoharibu kazi za wanausalama wetu)
 
Inawezekana kabisa mkuu, muhimu ni kutoa ushirikiano. Kuna njia ambayo polisi huitumia wakishindwa kutrace mojakwamoja (sitaiweka hapa ili kutoharibu kazi za wanausalama wetu)
Wenye vifaa na technology ya kutrace simu hata kama imebadilishwa imei number ni TCRA tu sio polisi. Acha upotoshaji.

Technology hii Ina uwezo wa kutafuta simu popote pale nchini hata kama simu yenyewe imezimwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrejesho..nilikwenda polisi nikaripoti kwa cyber crime officers na kuwapatia IMEI namba ya sim yng ilioibiwa
Wakanambia nirudi siku ya pili ,,,nikarufi siku hio kisha nikaoneshwa tressing walioifanya na majibu yanaonesha kuwa hio simu bado inqtumia Laini yangu ile ile,,yaani laini haijabadilishwa,cha ajabu tukijaribu kupigia hio laini haipatkani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye vifaa na technology ya kutrace simu hata kama imebadilishwa imei number ni TCRA tu sio polisi. Acha upotoshaji.

Technology hii Ina uwezo wa kutafuta simu popote pale nchini hata kama simu yenyewe imezimwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
HATA KAMA EMEI IMEBADILISHWA BADO INAKUBALI KTK TRACKING SYSTEM?
KIVIPI?
NIPATIE MBILI TATU HAPO NIKUSOME VIZURI
 
Hapo kama umekutana na wahuni iyo mali imeenda ila kama sio wahuni unaweza kuipata kwa kuanza kuripoti polisi kwanza ndio polisi wakupe mwelekeo mzima
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom