stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Wanajamvi bila ya kusita masema toka moyoni kwangu mimi sina chama wala sio mwana siasa
Lakini wallahy kama rais magu hajapita ktk uchaguzi wa 2020 ntaandama,potelea mbali wacha nife,jina langu na kumbukumbu itabaki kwa wana JF wenzangu♂️
Lakini wallahy kama rais magu hajapita ktk uchaguzi wa 2020 ntaandama,potelea mbali wacha nife,jina langu na kumbukumbu itabaki kwa wana JF wenzangu♂️