Habarini wakuu
Mara tajwa yahusika
Kwa wanaume wote wa mjini marijali kama mimi watongozaji na wapenda totoz wazuri mtakubaliana na hili
Hapa mjini ukimtongoza demu na kutaka kumbandua au kumgegeda lazima atakutajia gharama ya elfu 30 au 50
Jamani uongooo? Kwa Haya ninayosema??
Demu ukimwambia...
Kwa miezi kadhaa sasa tangu ofisi yangu ipigwe ban na serikali ,nimejikuta naachana kabisa na mademu zangu wote na muda mwingi nawaza kutafuta hela Tu
Na hawa mademu nahisi washajishtukia coz nlivyowadekeza Siku za nyuma tofauti na hivi karibuni
So wameacha kabisa kunipiga mizinga na wote...
Wadau habari ya muda huu
Yani mwenzenu mida hii ndo nazinduka baada ya kulewa chakari mida ya asubuhi
Tangu Jana nipo ghetto na demu wangu sasa nlichokifanya Leo ndo sijui hatma yangu
Ni kwamba nlikua najifanya bingwa wa kwenda chumvini sasa katika kulamba lamba nahic nkalamba kinyeo cha demu...
Kichwa cha habari chahusika
Serikali imetoa ajira Kwa walimu wa sayansi
But katika orodha hiyo yapo majina ya walimu watatu wa masomo ya arts
Na wote wamepangwa Bukoba municipal na wote wamepangwa shule moja
Sasa serikali ina semaje kuhusiana na hili la waalimu hawa wa arts kupewa ajira na...
Habari wakuu
Jamani Kwa anaejua faida anayoingiza Faru Fausta Kwa nchi anijuze
Naskia Faru huyu Kwa mwezi anatumia milioni 64
Banda lake lilijengwa Kwa milioni 43
Faru Fausta ni Mzee wa miaka 55
Lakini hadi umri huu Hana mtoto
Naomba kujuzwa faida anayotupatia huyu Faru hadi agharamiwe kiasi hiki.
Wakuu Heri ya Pasaka
Nipo mjini musoma hapa ,daaah inasikitisha Sana ,tofauti na sikukuu za miaka ya nyuma
Tulizoea ukienda Bar unakuta watu kibao meza zimechafuka bia
But Kwa pasaka hii ya Leo kweli utaamini Magu kabana
Nimepita baa kadhaa nyingi hazina wateja kabisa wala shamrashamra
Nipo...
Naje wakuu
Naona mnafaidi Tu vyuku mipilau roast peke yenu hata mualiko hakuna!
Heading yahusika
Kuna rafiki angu kaja kuniuliza juu ya kisa hiki
Alikua na demu lakini baada ya muda yule demu kaanza nyodo kwa mshikaji akapunguza mawasiliano
Jamaa anamwona Tu demu online lakini hata salamu...
Heri ya pasaka wakuu
Naomba tujuzane hili kuhusu umri sahihi Kwa mtoto wa kike kupata mume/mtoto
Manake Siku hizi nashangaa kumwona binti hadi anagonga miaka 30 bado anaendekeza bhata,kutoa toa mimba
Binti hana mbele wala nyuma ukimuuliza maisha haya hadi lini anakwambia nakula maisha Kwanza...
Naje wakuu
Jamani kuna Jambo najiuliza
Hivi ni lazima sisi wanaume kuhonga honga pesa Kwa mademu zetu yani michepuko?
Unakuta mwanaume anajisifia kabisa kwamba bingwa wa kuhonga wakati wazazi wake wanashindia uji na maembe huko kijijini
Kitabu gani kitakatifu kimeandika lazima wanaume tuwape...
Habari ya jumaa kuu wana Jamvi
Jamani mwenzenu nimepatikana kwa binti mmoja
Kiumri ni mdogo miaka
Huyu binti bhana simwelewi kila ninapozungumza nae Mambo ya ukweli kuhusu mahusiano yetu anaharakia kusemwa nimwache nitafute mwingine
Na kauli zake hizi zinatokana na tabia yake ya promise fake...
Wakuu kuna Jambo linanikera Sana halafu naona hadi kwenye idara za serikali limeanza
Nakumbuka wakati wa kampeni mgombea Pombe Magufuli alisema hili suala la kutangaza kazi then kuhitaji watu wenye experience miaka 5 10 2 1 na kuendelea atalikomesha
But imekua tofauti kila idara taasisi...
Maisha ya Tz ni stress tupu
Na tangu awamu hii ya 5 iingie madarakani stress ndo zimezidi
Watu tukipunguza stress kwa kutupia Pombe za kwenye viroba ambazo tukizinunua kwa bei chee kuanzia 400-1000 ukiwa na buku 2 Yako unajitupia unasahau stress za utawala wa Magu
Sasa kitendo cha serikali...
Habari wana Jf
Kuna rafiki angu ana demu wake mwenye miaka 25. Hivi majuzi jamaa kaja kuniomba ushauri. Mwaka jana alimpa mimba huyo binti na ilitokana na uzembe wa binti mwenyewe kutojua kalenda yake ya period. Mungu awasamehe wakafanya abortion
Baada ya muda demu akaanza visa na kumwaga...
Habarini wana Jamvi
Kama mnavyojua tangu utawala wa awamu hii uingie madarakani umebana Sana hela na madili hakuna
Hali hii imepelekea nikose hela za kuhonga hivyo kuachana na mademu zangu
Kama mnavyojua mademu wa kibongo wanapenda sana pesa kama huna unaitwa mwanaume suruali
Kutokana na...
Wadau habari ya ijumaa
Jamani siku hizi kuna magodoro ya aina mbalimbali
Naomba mnitajie kitu kimojawapo kinachoashiria godoro unalotumia limeisha muda wake hivyo kununua lingine
Asanteni
Dunia imebadilika sana hasa kwenye suala la mapenzi
Nimefanya utafiti mdogo kupitia Fb kwa muda mrefu nimegundua wasichana wengi siku hizi wamepoteza bikra zote mbele na nyuma
Hata wavulana wengi sana wamekua mashoga siku hizi
Nina account yangu fake Fb nasumbuliwa sana na mashoga tena wengi ni...
Hii ni kuashiria hali ya uchumi ni mbaya au imekaaje kaaje hii
Ukipita maeneo kadhaa ya hapa mwanza town center mitaa ya Darajani utakuta matangazo ya kupangisha fremu za maduka miezi inakatika no wapangaji
Maeneo ya Liberty nayo floor kibao zipo empty miezi inakatika no wapangaji
Ofisi ya...
Kichwa cha habari chahusika
Wadau naomba mnitajie radio zinazorusha matangazo ya Bunge live na Frequency zake nipo huku Kolomije ila baadae ntarudi mwanza town
Nisaidieni!
Asanteni sana
Aslaamhaleykhum wana JF,
Nimegundua watanzania tunaongoza kwa kupenda mapenzi ndo maana nchi yetu maendeleo hakuna na yaliyopo tunayapata kwa mwendo wa Kobe. Kwenye mitandao mingi ya kijamii watanzania tunaongoza kwa post za mapenzi na ngono ngono.
Kijana anahangaika mchana kutwa kutafuta hela...
Kichwa cha habari chahusika
Nipo jijini mwanza hapa jamanii tangu mwaka huu uanze sijaona kabisa mbwembwe mtaani za watu kufunga harusi ikiambatana na mbwembwe za matarumbeta
Hii ni kuashiria utawala huu wa Magu watu hawaoni wanabebana kimya kimya
Au inaashiria Hali ngumu ya kifedha watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.