Umri sahihi wa mtoto wa kike kupata mume/mtoto

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Heri ya pasaka wakuu
Naomba tujuzane hili kuhusu umri sahihi Kwa mtoto wa kike kupata mume/mtoto
Manake Siku hizi nashangaa kumwona binti hadi anagonga miaka 30 bado anaendekeza bhata,kutoa toa mimba
Binti hana mbele wala nyuma ukimuuliza maisha haya hadi lini anakwambia nakula maisha Kwanza
Akishachoka anaanza kutafuta mume akikosa anaanza kusema kalogwa
Ataanza kutafuta mwanaume azae nae kinguvu ,akikosa mimba Kwa sababu ya kuharibu kizazi enzi za ujana wake baada ya kufanya abortion za kutosha anazidi kusema karogwa pia
Mdada unahisi ni lini wakati muafaka Kwa wewe kupata mume na kujenga familia ?
Badala ya kuendekeza bata na mwisho kuhisi umerogwa baada ya kukosa vyote
 
Heri ya pasaka wakuu
Naomba tujuzane hili kuhusu umri sahihi Kwa mtoto wa kike kupata mume/mtoto
Manake Siku hizi nashangaa kumwona binti hadi anagonga miaka 30 bado anaendekeza bhata,kutoa toa mimba
Binti hana mbele wala nyuma ukimuuliza maisha haya hadi lini anakwambia nakula maisha Kwanza
Akishachoka anaanza kutafuta mume akikosa anaanza kusema kalogwa
Ataanza kutafuta mwanaume azae nae kinguvu ,akikosa mimba Kwa sababu ya kuharibu kizazi enzi za ujana wake baada ya kufanya abortion za kutosha anazidi kusema karogwa pia
Mdada unahisi ni lini wakati muafaka Kwa wewe kupata mume na kujenga familia ?
Badala ya kuendekeza bata na mwisho kuhisi umerogwa baada ya kukosa vyote

Ili uweze kuoa, kuolewa au kupata mtoto kwanza kabisa ni lazima uwe umefikisha umri wa miaka 18. Lakini baada ya hapo hakuna muda sahihi wa mwanamke kuolewa au mwanaume kuoa na kupata mtoto. Muda sahihi ni pale unapokuwa tayari na kuamua kuoa, kuolewa na kupata mtoto.
 
Back
Top Bottom