Awali ya yote nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuniwezesha kukamilisha ndoto zangu.
Pili napenda kuwashukuru wadau wakubwa humu jukwaani kwa support kubwa ya mawazo tangu nilipoweka nia ya kuondoka nchini kwetu, Mungu awabariki sana (wote mnaotambua uwepo wake na utendaji...
Salamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu...
Natumaini hamjambo nyote.
Kwanza kabisa nitumie fursa hii kuwashukuru kwa wote mlionitia moyo na kuniongezea hamasa ya kupambana katika kutimiza adhma yangu ya kwenda kusoma Marekani.
Baada ya kuchambua ushauri wenu katika sehemu iliyopita, ningependa kuwajulisha hatua niliyofikia na ikiwa...
Wakuu salaam,
Awali ya yote namshukuru sana M. Mungu kwa nafasi hii adhmu niliyobahatika kupata. Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikihangaika kuboresha maisha yangu ndani na nje ya nchi.
Mara tu baada ya kuhitimu tu masomo ya elimu ya juu, niliamua kusafiri kwenda bara la Asia nchi za Gulf kutafuta...
Wakuu Salaam,
Ndugu zangu ni mwezi wa tano sasa tangu ndugu yangu (Me) amepata tatizo la afya la kupooza kuanzia maeneo ya kiunoni hadi miguuni.
Kiuno na miguu haifanyi kazi kabisa, hawezi kufanya chochote bila kupata usaidizi,kama familia tunaumia sana maana ni kijana mdogo (20s).
Tumejaribu...
Nauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi.
Mahali:Nyashishi - Mwanza.
Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami,
Mwanza - Shinyanga.
Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi.
-Halina mawe kabisa ndani yake.
-Linafikika kwa gari na watu wamejenga jirani.
-Halina mgogoro wowote na hati...
Wakuu salam;
Nina mpango wa kujiendeleza kielimu nje ya nchi,miongoni mwa vyuo vingi ambavyo nimekuwa nikituma maombi wanahitaji pia cheti ya kuthibitisha ujuzi wa lugha ya kingereza yaani IELTS au TOEFL.
Hivyo nimedhamiria kufanya IELTS mwishoni mwa mwezi huu,nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye...
Wakuu salaam;
Katika pilika pilika zangu za hapa na pale nimekutana na hali ambayo kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atakubariana nami kuwa huku sio kuwajali au kuwapenda wafanyabiasha wadogo maarufu kama (machinga), bali ni kuwajaza ujinga na kuwahatarishia maisha yao na (wao pia kujiweka...
Ndugu zangu salamu;
Awali ya yote nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema,kwa zawadi ya uhai anayozidi kutupatia sisi waja wake.
Katika siku za hivi karibuni hasa katika kipindi hiki cha miaka mitano iliyopita, miongoni mwa maneno yanayotumika zaidi mojawapo ni UZALENDO.
Uzalendo...
Wakuu, kwa hali ya mambo ilivyo ni dhahiri kuwa kwa mtu yeyote mwenye kuona mbali, mwenye mapenzi ya dhati na nchi yake na pia mwenye kuheshimu utu na haki za raia wenzake, kamwe hawezi kufurahishwa na ujinga huu unaondelea hapa nchini unaoitwa siasa.
Sote tunafahamu siasa inapofanyika kwa...
Leo nimefuatilia mkutano wa Chama Cha Mapinduzi - CCM ulioongozwa na katibu mkuu wa chama Dk Bashiru wakati akizungumza na wajumbe wa chama hicho mkoa wa Magharibi mjini,Unguja,Zanzibar na kumsikia akitamka maneno yafuatayo;
"... nilitaka nijue,maana mimi nisingekwenda.Nilimpigia jaji Mtungi...
Baadhi ya mambo ninayoyaona yasiyo sawa ni;
1:Kusalimiana kwa wahusika (kwa mikono ya kushoto).
2:Pili hakuna maneno(matamshi) yoyote katika salamu (Blank space in conversation box)!!.
3:Facial expression ( nonverbal communication) za wahusika,haziendani kupatana (katika mkutadha wa salamu)...
Mwanamke mmoja anaefahamika kwa jina la Annet Namata nchini Uganda amempa mtoto binti yake wa kambo chakula alichokichanganya na damu yake ya hedhi.
Baada ya kula chakula hicho ambacho damu ya dada huyo ilichanganywa na mchuzi wa biringanya mtoto huyo alianza kutapika mfululizo nje...
"Yanga hawakushiriki michuano ya Kagame Cup msimu uliyopita pia kumbukeni wao sio Mabingwa wa Tanzania, hatutawamisi katika michuano hii acha wajitoe hatujali ikiwa watacheza ligi ya mabingwa barani Afrika msimu huu kawaida yao huko ni kufungwa magoli 5-0 au 6-0 isingetusaidia lolote kama...
Salaam Wakuu;
Nimekusudia kuondoka nchini hivi karibuni kwa ajili ya kwenda nje ya nchi kutafuta fursa za kazi(professional & unprofessional),sehemu niliyokusudia kwenda ni Dubai(UAE).
Gharama za safari na accommodation kwa ujumla ninazo,na NAHITAJI KWENDA KWA NJIA HALALI.
Niko hapa mbele yenu...
Salaam Wakuu.
Natafuta Abroad/Overseas Education Agency, ambao wanaweza kunisaidia kupata Chuo nje ya nchi,hasa nchi za Nordic na Ulaya Mashariki(Russia & Ukraine) katika Ngazi ya Masters.
Hivyo,napenda kufahamishwa ma agent waaminifu wa vyuo vya nje ya nchi,wenye gharama nafuu pia...
Habarini wana Jukwaa,
Napenda kusaidiwa kufahamu ni course gani zinaweza kuwa msaada mkubwa kwa mtu aliyesoma Bachelor Of Arts With Education (BAED) katika masoma Linguistics & Literature, katika ngazi ya Masters,kati ya hiz
1:MASTERS IN LEADERSHIP & GOVERNANCE
2:MASTERS IN CURRICULUM STUDIES...
Hii nimeipenda sana,ipitishwe na huku kwetu aisee,hasa mikoa ya huku Pwani na Kilimanjaro (Moshi) huu ushenzi uishie mbali kabisa[emoji16] [emoji16] [emoji16]
=======
Indonesia could "wipe out" paedophilia with its new policy of chemical castration, President Joko Widodo has told the BBC. He...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.