Mwendelezo. Ushauri na Msaada wa kwenda masomoni Marekani

Invigilator

JF-Expert Member
Aug 16, 2016
3,207
5,990
Natumaini hamjambo nyote.

Kwanza kabisa nitumie fursa hii kuwashukuru kwa wote mlionitia moyo na kuniongezea hamasa ya kupambana katika kutimiza adhma yangu ya kwenda kusoma Marekani.

Baada ya kuchambua ushauri wenu katika sehemu iliyopita, ningependa kuwajulisha hatua niliyofikia na ikiwa kuna uwezekano mnisaidie ushauri ni nini nifanye kutatua changamoto niliyokutana nayo tena.

Hadi sasa, nimefanikiwa kujaza DS 160, kuhakiki na kuituma (online). Pia nimefanya malipo ya USD 160.

Baada ya hapo nimelipa SEVIS 350 USD na nime arrange interview, nimepata mwezi August tarehe 12, saa 3 : 15 asubuhi. Namuomba Mungu anisaidie nipate Visa, mniombee pia rafiki zangu.

Nilikuwa naomba kujua mambo mawili.

1 Je, naweza ruhusiwa kutumia Bank statement ya iliyotolewa kuanzia mwezi April kurudi nyuma siku ya interview? kama certification ya finance ya sponsor wangu?

2. Baada ya interview nitakuwa na siku chache sana zisizozidi 10,ambazo natakiwa kuondoka ndani ya siku hizo (ikiwa Mungu atanifanikisha). Kufanya booking ya ndege ndani ya siku hizo itani-cost sana.

Nawezaje kufanya booking at least kuanzia sasa ili nipate punguzo la gharama? Itanibidi kutumia pesa? habari gani nikikoswa Visa.

Natanguliza shukran, nisaidie wajuzi msinichoke.

Wasalaam.
 
Natumaini hamjambo nyote.

Kwanza kabisa nitumie fursa hii kuwashukuru kwa wote mlionitia moyo na kuniongezea hamasa ya kupambana katika kutimiza adhma yangu ya kwenda kusoma Marekani.

Baada ya kuchambua ushauri wenu katika sehemu iliyopita, ningependa kuwajulisha hatua niliyofikia na ikiwa kuna uwezekano mnisaidie ushauri ni nini nifanye kutatua changamoto niliyokutana nayo tena.

Hadi sasa, nimefanikiwa kujaza DS 160, kuhakiki na kuituma (online). Pia nimefanya malipo ya USD 160.

Baada ya hapo nimelipa SEVIS 350 USD na nime arrange interview, nimepata mwezi August tarehe 12, saa 3 : 15 asubuhi. Namuomba Mungu anisaidie nipate Visa, mniombee pia rafiki zangu.

Nilikuwa naomba kujua mambo mawili.

1 Je, naweza ruhusiwa kutumia Bank statement ya iliyotolewa kuanzia mwezi April kurudi nyuma siku ya interview? kama certification ya finance ya sponsor wangu?

2. Baada ya interview nitakuwa na siku chache sana zisizozidi 10,ambazo natakiwa kuondoka ndani ya siku hizo (ikiwa Mungu atanifanikisha). Kufanya booking ya ndege ndani ya siku hizo itani-cost sana.

Nawezaje kufanya booking at least kuanzia sasa ili nipate punguzo la gharama? Itanibidi kutumia pesa? habari gani nikikoswa Visa.

Natanguliza shukran, nisaidie wajuzi msinichoke.

Wasalaam.
Swali namba 2, nenda kwa travel Agent mueleze ukweli wa situation ilivyo atakufanyia booking genuine bila kutoa hata senti tano na ataprint out itinerary booking atakupa utasubmit ubalozini pamoja na supporting docs zako.

Swali namba 1, kwani aliyekupa bank statement hayupo? fuata muongozo wanataka bank statement ya miezi mingapi nyuma? Mara nyingi ni Six month.
 
Swali namba 2, nenda kwa travel Agent mueleze ukweli wa situation ilivyo atakufanyia booking genuine bila kutoa hata senti tano na ataprint out itinerary booking atakupa utasubmit ubalozini pamoja na supporting docs zako.

Swali namba 1, kwani aliyekupa bank statement hayupo? fuata muongozo wanataka bank statement ya miezi mingapi nyuma? Mara nyingi ni Six month.
Ahsante sana Mkuu.
 
Hivi booking inalipiwa? Ukienda ofisi za airline eg Qatar air, emirates nadhani hulipii wanakupa print out na kama una student viza unakata oneway student ticket nayo bei inashuka kidogo. Kila la heri
 
Hivi booking inalipiwa? Ukienda ofisi za airline eg Qatar air, emirates nadhani hulipii wanakupa print out na kama una student viza unakata oneway student ticket nayo bei inashuka kidogo. Kila la heri
Kwenye huu uzi ni wapi imesemwa booking inalipiwa?
 
Wakati wa booking hakikisha hiyo flight ndio utasafiri nayo Kwahiyo ufanye quotation ya uhakika na umuahidi travel agent viza yako ikitoka utarudi kwake kukata ticket.
Ahsante sana umekuwa msaada mkubwa tangu naanza hili jambo, kesho nitakwenda ofisini kwao nifanye hivyo.
 
Hivi booking inalipiwa? Ukienda ofisi za airline eg Qatar air, emirates nadhani hulipii wanakupa print out na kama una student viza unakata oneway student ticket nayo bei inashuka kidogo. Kila la heri
Ahsante mkuu.
 
Mkuu Invigilator ndo naona uzi wako sasa. Fuata ushauri wa Matola kwa swala la booking.

Aidha kwanini usimuombe sponsor wako an updated bank statement? Kama aliweza kukupa mara ya kwanza hawezi goma kukupa mpya, kinachohitajika ni kuonyesha mzunguko kwenye account sio pesa iliyokaa tu.

Kuna huyu jamaa anaongelea sana mambo ya kwenda nje youtube jaribu kupitia channel yake. Kila la kheri

 
‼️‼️VISA INTERVIEW TRANSCRIPT (Mon, 13th June 2022)
----------------------------‼️‼️
Code:
 US Embassy Location: Accra, Ghana
Interview Time: 13:00 GMT
Arrival Time: 10:38 GMT
Consular/VO: A white woman (with her spectacles on)
Outcome: Approved✅

Background:
There were fewer people there for their F1 Student VISA. Expectedly, I did not queue for long.

My fingers (left and right hand) biometric was taken before the interview. This and other normal pre-interview precedings followed.

Code:
INTERVIEW:
Me: Good afternoon (with a smile)
VO: Good afternoon (she smiled back)
Me: How are you doing?
VO: I'm good, thanks. Let me have your documents.
Me: (Handed over my DS160 confirmation page, Passport, and I-20) Here, also, are my admission welcome letter and my fellowship/funding letter for your perusal.
VO: Oh, thanks! So where are you going to?
Me: I am going to the USA to pursue a Ph.D. in the Programs in Biomedical and Biological Sciences at the Keck School of Medicine in the...
VO: (cuts in) Which school?
Me: University of Southern California.
VO: Oh garbage! (She said with a little smile).
Me: (I laughed, a little)
VO: Oh don't mind me, your school is really a great one. I went to UC Berkeley, so we have this rivalry with your school.
( At this point, the interview had turned into some extra-friendly convo.)
Code:
VO: Have you ever travelled outside Ghana?
Me: No! I haven't.
VO: Do you have kids?
Me: No, I don't.
VO: Are you married?
Me: No!
VO: You want to get a girlfriend in California? (She said smiling).
Me: (In my head, I was like, "you this woman, do you want to trick me anaa?) Oh no! I intend to focus on my studies.
VO: I am approving your visa. Take this paper, it will show you how to get your documents.
Me: Thank you!


PS: I have taken time to give an accurate report of what transpired. A word or two may not be exact (word-for-word). Aside that, this is an excellent report.

I pray for greater grace of YHWH for those yet to be interviewed. You are victorious!🥳🥳 All the best!
 
VISA INTERVIEW TRANSCRIPT (Mon, 13th June 2022)
----------------------------

Code:
 US Embassy Location: Accra, Ghana
Interview Time: 13:00 GMT
Arrival Time: 10:38 GMT
Consular/VO: A white woman (with her spectacles on)
Outcome: Approved

Background:
There were fewer people there for their F1 Student VISA. Expectedly, I did not queue for long.

My fingers (left and right hand) biometric was taken before the interview. This and other normal pre-interview precedings followed.


Code:
INTERVIEW:
Me: Good afternoon (with a smile)
VO: Good afternoon (she smiled back)
Me: How are you doing?
VO: I'm good, thanks. Let me have your documents.
Me: (Handed over my DS160 confirmation page, Passport, and I-20) Here, also, are my admission welcome letter and my fellowship/funding letter for your perusal.
VO: Oh, thanks! So where are you going to?
Me: I am going to the USA to pursue a Ph.D. in the Programs in Biomedical and Biological Sciences at the Keck School of Medicine in the...
VO: (cuts in) Which school?
Me: University of Southern California.
VO: Oh garbage! (She said with a little smile).
Me: (I laughed, a little)
VO: Oh don't mind me, your school is really a great one. I went to UC Berkeley, so we have this rivalry with your school.
( At this point, the interview had turned into some extra-friendly convo.)
Code:
VO: Have you ever travelled outside Ghana?
Me: No! I haven't.
VO: Do you have kids?
Me: No, I don't.
VO: Are you married?
Me: No!
VO: You want to get a girlfriend in California? (She said smiling).
Me: (In my head, I was like, "you this woman, do you want to trick me anaa?) Oh no! I intend to focus on my studies.
VO: I am approving your visa. Take this paper, it will show you how to get your documents.
Me: Thank you!


PS: I have taken time to give an accurate report of what transpired. A word or two may not be exact (word-for-word). Aside that, this is an excellent report.

I pray for greater grace of YHWH for those yet to be interviewed. You are victorious! All the best!
Thanks so much for a such tender heart
 
Back
Top Bottom