Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,207
- 5,990
Leo nimefuatilia mkutano wa Chama Cha Mapinduzi - CCM ulioongozwa na katibu mkuu wa chama Dk Bashiru wakati akizungumza na wajumbe wa chama hicho mkoa wa Magharibi mjini,Unguja,Zanzibar na kumsikia akitamka maneno yafuatayo;
"... nilitaka nijue,maana mimi nisingekwenda.Nilimpigia jaji Mtungi (simu) nikamwambia,ukienda huna kazi.Nikampigia pia waziri Jafo nikamwambia ukienda huna kazi."
Napenda kujua kwa mujibu wa katiba na sheria zetu za nchi,je katibu wa chama ana mamlaka ya kufanya hayo?..
"... nilitaka nijue,maana mimi nisingekwenda.Nilimpigia jaji Mtungi (simu) nikamwambia,ukienda huna kazi.Nikampigia pia waziri Jafo nikamwambia ukienda huna kazi."
Napenda kujua kwa mujibu wa katiba na sheria zetu za nchi,je katibu wa chama ana mamlaka ya kufanya hayo?..