Ni jinsi gani naweza kupata 7.5 band ya IELTS?

Invigilator

JF-Expert Member
Aug 16, 2016
3,207
5,990
Wakuu salam;

Nina mpango wa kujiendeleza kielimu nje ya nchi,miongoni mwa vyuo vingi ambavyo nimekuwa nikituma maombi wanahitaji pia cheti ya kuthibitisha ujuzi wa lugha ya kingereza yaani IELTS au TOEFL.

Hivyo nimedhamiria kufanya IELTS mwishoni mwa mwezi huu,nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye ujuzi na ufahamu anisaidie kujua yafuatayo.

1.Upo uwezekano wa kufanikiwa kupata score band ya 7.5?.

2.Ugumu wa mitihani hii uko vipi?.na jinsi gani naweza kujiandaa nikafaulu vizuri.

3.Nawezaje kupata papers na materials ya ziada?.

Natanguliza shukran.
 
Mbona IELTS ni nyepesi ? Tafuta online practice questions...ukishajua mtihani unakaaje ukaenda ukiwa prepared hamna utakachoshindwa
 
Nenda British council, lipia ile tution yao ya English ata ya 3 months, hafu ndio lipia pepa. Hapo utapita.

Me nilikutupuka kulipia tu Pepa nikaishia 5 qmmk nikajua English nyoko.
Kadai pesa yako haiwezekani wakufelishe mzalendo
 
Wakuu salam;

Nina mpango wa kujiendeleza kielimu nje ya nchi,miongoni mwa vyuo vingi ambavyo nimekuwa nikituma maombi wanahitaji pia cheti ya kuthibitisha ujuzi wa lugha ya kingereza yaani IELTS au TOEFL.

Hivyo nimedhamiria kufanya IELTS mwishoni mwa mwezi huu,nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye ujuzi na ufahamu anisaidie kujua yafuatayo.

1.Upo uwezekano wa kufanikiwa kupata score band ya 7.5?.

2.Ugumu wa mitihani hii uko vipi?.na jinsi gani naweza kujiandaa nikafaulu vizuri.

3.Nawezaje kupata papers na materials ya ziada?.

Natanguliza shukran.
Kuna nchi hazihitaji hiki cheti (Kwao sio mandatory)
Azerbaijan, Mauritius, China, Hungary, na kwengine kwingi tu.

Acha kupoteza muda na hicho cheti.

Binafsi nimepata scholarship ya PhD bila kuwa na hicho cheti.

Japo kwenye application walisema "Attach" ila kwao haikuwa mandatory.

Wao wanachotaka Elimu yako ya Degree uwe umesoma kwa Kingereza. Na proof ni vyeti vyako unavyo vi-attach

#YNWA
 
Kuna nchi hazihitaji hiki cheti (Kwao sio mandatory)
Azerbaijan, Mauritius, China, Hungary, na kwengine kwingi tu.

Acha kupoteza muda na hicho cheti.

Binafsi nimepata scholarship ya PhD bila kuwa na hicho cheti.

Japo kwenye application walisema "Attach" ila kwao haikuwa mandatory.

Wao wanachotaka Elimu yako ya Degree uwe umesoma kwa Kingereza. Na proof ni vyeti vyako unavyo vi-attach

#YNWA

Inategemea hungary wanahitaji , isitoshe sisi sio km kenya English sio official language
 
Inategemea hungary wanahitaji
Nili apply Hungary na haikuwa ulazima
isitoshe sisi sio km kenya English sio official language
Kwa hizo nchi ambazo sio official language kwao hawataki.

Wanachotaka ni vyeti vyako viwe ni English language (Your taught language was English).

Mi nilipata scholarship moja bila ya hicho cheti.

Nilichokuwa nafanya nilikua na-apply vyuo/nchi ambavyo havihitaji hicho cheti.

Niliapply China, Azerbaijan, Mauritius, Hong Kong, Hungary, Etc.

Na nilipata bila ya kutumia hicho cheti.

The point is:- Usi apply nchi ambazo English ni official language ila apply nchi ambazo Zina International Courses (English Taught language Course) kwenye vyuo vyao.

Hata ya SADC na EAC wanataka cheti ikiwa nchi yako haifundishi lugha ya kingereza.

Kwahiyo kwa SADC na EAC sisi TZ hatuhitaji kuweka hicho cheti.

Na SADC na EAC wametoa, kama unataka WAHI FASTA KU APPLY.

NB:-
Wakati na apply nchi ambazo zilikua zinahitaji cheti ni USA, UK (Common Wealth), Belgium, Austria, na nyengine nyingi na hasa za ulaya.

Ingia Website ya Wizara ya elimu, Wizara ya Utumishi, Wizara ya Mambo ya nje, Wizara ya Fedha, EAC, SADC, IUCEA, AU na kwengine huko... UTAJIFUNZA MENGI KUHUSU ATTACHMENT YA HIKI CHETI.

* I am expert on this.

#YNWA
 
Inategemea hungary wanahitaji , isitoshe sisi sio km kenya English sio official language

Mauritius hiyo hapo 👆👆 hawahitaji


Hiyo hapo South Korea 👆👆. Hii ukiwakilisha Vyeti vyako kama vina lugha ya kingereza na ndio lugha uliyofundishiwa HAUHITAJI HICHO CHETI.

#YNWA
 
Back
Top Bottom