Leo kuna katazo la Spika Ndugai kwa waandishi wa habari kutokuhoji wabunge waliosusia adhabu ya Mh. Lema. Imekuwa ni desturi kwa vyombo vya habari kuhoji wabunge pindi wanapofukuzwa au kususia Bunge ili kuwajulisha watanzania walio na kiu ya kutaka kujua nini kinaendelea Bungeni haswa baada ya...
Mwanandondi msataafu ameripotiwa kufanya kazi na mwanamuziki Snoop Doggy huku akijifinza kuhusu bangi.
Mwanandondi huyo mambaye kwa sasa amefungua shamba la ukubwa wa ekari 40, kwa ajili ya kilimo cha bangi, amejiweka karibu na mwanamuziki Snoop ambaye nae tayari anafanya shughuli za...
Mhh, huyu mama katoa mpya! Yaani hata nashindwa kuelewa alimaanisha nini kwa hii kauli yake.
Janet Museveni na mabinti zake.
MKE wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Janet Museveni amesema kuwa aliwalea na kuwatunza mabinti zake vizuri hadi wanaolewa wakiwa bikira kwa kutumia njia asilia za...
Hili jambo halijakaa vizuri na wala halipendezi. Kwa kweli limenisikitisha sana:
Waombaji 27 wa nafasi za kazi ya mtendaji wa kijiji daraja la III katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe wamelalamika wakidai wamezuiwa kusailiwa.
Waombaji hao wenye cheti cha mipango ya...
Hii habari inashangaza sana lakini ni kweli imetokea hapa kwetu Tanzania:
Jambazi Atandikwa Risasi na Wenzake Mbele ya Polisi
Mkazi wa jijini Dar es Salaam, Robert Massawe (51), ambaye polisi wanadai ni mtuhumiwa wa uporaji na mauaji, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa ni...
“RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza naye, nimempa siku 3” – MUSUKUMA
Mbunge wa Geita Vijijini na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Musukuma ameongea kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa na Polisi na kulazwa rumande kwa zaidi ya saa 48 baada ya kudaiwa kuhujumu miundombinu ya maji...
Dk. Izack Daniel enzi za uhai wake.
DUNIA haina huruma! Ndiyo kauli unayoweza kuitoa baada ya hivi karibuni mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Dk. Izack Daniel, mkazi wa Ngarenaro, Babati mkoani Manyara, kukutwa akiwa amechinjwa kama kuku chumbani kwake na watu wasiojulikana.
Chanzo...
‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko ni moja kati ya nyimbo ambazo zinafanya vizuri katika sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, katika kipindi kifupi tangu itoke.
Imedaiwa kuwa, wimbo huo umeibiwa kutoka kwa msanii wa Bongo ambaye anaishi Uingereza ajulikanaye kama PCK. Akiongea na kipindi...
Leo Rais amesema Waandishi wa Habari hawana uhuru kwa kiwango wanachodhani.
Je ni kiwango gani cha uhuru wa habari kilichopo Tanzania? Anayefahamu atujuze manake wengine hatufahamu hicho kiwango cha habari kilicho Tanzania ili wenzetu waandishi wa habari wasije kujikuta kwenye matatizo.
Katika sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano hatakuwepo Zanzibar na anatarajiwa kuwepo Shinyanga kwa shughuli maalum ambapo atahutubia Taifa.
Sio vibaya kutoa udhuru wa sherehe ya Mapinduzi, lakini najiuliza hivi viongozi wa mwanzo kabla ya Rais Magufuli walishawahi...
Jina la Hollywood lilibadilishwa na kuwa Hollyweed
Raia wa Los Angeles ambao ndio majirani wa eneo la kuigiza filamu maarufu 'Hollywood' waliamka mwaka mpya na kuona kwamba ubao wa ishara ya eneo hilo maarufu umebadilishwa na kuwa 'Hollyweed'.
Vyombo vya habari katika eneo hilo vimeripoti...
Ila mwaka huu TAANESIKO wametusamehe sana, mpaka leo hakuna mgao wa umeme!! Bado siamini. Bei mpya ni kama ilikuwa ni kupima, je wapo au wamelala??! Wangezubaa kidogo ungesikia Mabwawa ya Mtera na Kidatu yamekauka na tunaanza mgao mkali wa umeme!!
Picha: Kevin aliweka vipande vya nyama ya nguruwe katika mlango wa msikiti wa Jamia huko Totterdown, Uingereza.
Mtu aliyeweka nyama ya nguruwe katika mlango wa msikiti nchini Uingereza amefariki akihudumia kifungo cha miezi 12 jela.
Kevin Crehan alihukumiwa kifungo hicho katika mahakama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.