Tumekuwa tukiishi kwa wasiwasi sana hasa tukitumiwa pesa tunakimbilia kwa mawakala kama hatuna akili nzuri. mimi kidogo nime-advance, natembea na namba za wakala za kutolea pesa.
Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao...
Pengine unamuona mdada, mrembo, saa nyingine mtafutaji, mwingine anatia tu huruma na wewe ukamuonea huruma, ukaamua kumuoa. My freind makundi haya matutu nitakayo kutajia hawana true love, upendo toka moyoni, mostly ni ma pretender tu.
Kumdi la kwanza, MWANAMKE ALIYE FIWA NA MUME WAKE - ukiingia...
- Utapeli, jambo hili limekuwa la kaida na limeshika kasi sana. Utapeli huo ni wa kuhakikishiwa dada wa kazi kapatikana kisha unatuma pesa then unaambiwa kabisa dada kapandishwa kwenye basi Fulani, atawasili saa saba mchana ubungo, then unaenda kumpokea dada hewa.
- Uaminifu...
An American tourist asked a boat guy in Zanzibar,
Do you know Biology, Pyschology, Geography, Geology or Criminology,
The boat guy said, No. I don't know any of these"
The tourist then said "What the hell do you know on the face of this earth?
You will die of illiteracy" The boat guy said...
Kama ulikuwa uwafahamu vizuri hawa ndugu zetu, mama zetu.Usitenge muda kuwafahamu, sababu utaweza kuwa chizi, pesa wananusa kama sisimizi anavyo nusa sukari ipo wapi ukiwa na pesa ya kutosha utaweza kuwachanganya kijiji kizima ukifulia kijiji kizima wanakuacha, utaanza kuonekana kama kituko...
Wamebakia kufunua makabrasha kushindania yaliyopita.
Wa kimataifa aka Young African wanazidi kufyanza mambo.
Mimi kwamtoro Mwanachama na mpenzi wa coast union ya Tanga
Toka nimeona clip yake ya bunge kwa jinsi alivyochangia kuhusu bunge live. Nimevutuwa na muonekano wake, sauti yake hasa alipotamka anatamani kulia. Nikajiuliza sana kwenye moyo wangu, huyu anafananaje, yupoje. Nikaa googlee wee bila mafanikio. Leo nimegoogle atleast nikaiona hii picha japo...
Nina bahati mbaya sana na huyu mume wa mtu, jirani yangu.
Siku moja mke wake kaniita shemeji naomba uje unipe ushauri, kwa heshima na tahadhima nikaenda, tukawa tumekaa kitako akinieleza masahibu yanayo mkabili (sii ya ndoa) Mara mume wake huyoo.
Siku nyingine tena nikiwa narudi kutoka kazini...
Kuna uzi moja ulianzishwa kipindi cha nyuma ukimuongelea huyu mpambe. Nilimtetea kwa kiasi kikubwa kwa kuzingatia kwamba Rais Magufuli ni Rais ambaye yupo tofauti kabisa na marais waliomtangulia. Yeye hana utulivu, lolote wakati wowote anapoana anapenda kulifanya anafanya. Mfano, amewaona...
Mh Kubota upo wapi ndugu. Wewe ni mtu muhimu sana kwenye jukwaa letu hasa kwa kutufunua akili na kutupa mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Naomba mods kama mna namna yeyote ya kumtress huyu mtu, naomba mtuletee
Ing'ekuwa ni sababu nyingine hapo sawa. Lakini kila mwenye macho ameona, hata asiye jua kusoma picha ameona upumbavu wa uchaguzi wa Zanzibar.
Tume ya uchaguzi itangaze mshindi halali wa Urais wa tar 25/10/15 ndipo sasa nitakubaliana na uzalendo wa mahubiri ya lumumba wa kula kumbikumbi na...
Awali ya yote nawasalimu kwa dini ya kila moja wenu.
Pili poleni sana kwa joto la uchaguzi ambalo lililifanya jukwaa letu la MMU kuonekana halina maana na kusahaulika hasa kipindi cha kampeni. Manguli wote wa MMU walihamia jukwaa la uchaguzi.
Pia namshukuru Mungu uchaguzi uliisha salama japo...
Mimi ni mkazi wa kibamba, leo umenitumia ujumbe kwa simu yangu nikuchague,
Mimi zaidi ya kukuona kwenye luninga na magazeti,
Sijawahi kukuona kokote kule,
Hasa hizo nywele zako za twende kilioni,
Ndizo unifanya nikutambue kirahisi,
Nywele za garama zinakushinda,
Ndio utanilete Maji, Ajira...
Ili ushinde, lazima ukubalike,
CCM hawakubaliki pamoja na kuwa wametumia pesa nyingi sana kulazimisha kukubalika. Mfano ni wa kukodi wasanii, kugawa bure matshert na kofia
Vijana % kubwa hawaitaki,
Ukweli vijana ndio wapiga kura wengi, ndio wanaoitaji mabadiliko
Wamama wengi wataichagua...
Hali ya upinzani wanayokutana nayo huku site, hawajawahi kukutana nayo.
Sasa wamebaki kama watoto yatima. Katika kila kada moja, wanamabadiliko kumi.
CCM kwa namna yeyote ile lazima washindwe uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa hali ya huku site, uwezekano wa Magufuli kuongoza kwenye kituo chochote...
Serikali ya CCM kwa katiba iliyopo na inayopendekezwa wameminya sana utu wa mtu katika inchi yake.
CCM wameminya uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wetu sisi kwa kiwango kikubwa sana.
Serikali ya CCM imeminya sana mawazo ya watu wake kwa kuitumia TCRA.
TCRA itakuwa ni chombo cha kuficha...
Lowassa kipaumbele chake namba moja Elimu, namba mbili Elimu na namba tatu elimu.
Magufuli yeye kipaumbele chake Viwanda, Viwanda Tanzania nzima.
Wote hao juu wanaomba kazi kwetu, sisi ndio mabosi wao. Wametuambia watatufanyia hayo tukiwapa ridhaa ya kutuongoza.
Sasa tujadili yupi kati ya hao...
Uliuliza hivi kweli mwanamke anaweza kuombwa unyumba kinyume na maumbile na waume zao?. Watu wengi walichangia kwa kulaani na kuhusisha makatazo ya kidini.
Ukweli ni kwamba mwanaume ukiwa na pesa, hayo mambo ya kinyume na maumbile labda tu kama mwanaume huna interest nayo. Ila mwanamke...
Tanzania got it's Independence on 1961 and Kenya got theirs on 1963..
Kenya is already a Second World Country while Tanzania is still on the list of Poorest countries..
Fact_1
Pato la Mtanzania kwa mwaka ni Tshs. 1,996,000 na Pato la Mkenya kwa mwaka ni Tshs. 3,176,000..
Pato la nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.