Habari
Naomba kufahamu kama hapa kwetu Tanzania kuna supplier wa mashine ambazo zinatoa chumvi kwenye maji. Mashine iweze kutumia solar. Maji ya kisima cha ardhini.
Nilikuwa naperuzi CNN leo kwenye michezo nikakutana na hii habari ya "Tanzanias forgotten marathon runne
Tanzania's most decorated Olympian
Running champion chases eduction dream
Dar es Salaam, Tanzania (CNN) -- He's smashed world records and revolutionized running during his...
Habari zenu wandugu,
Kwanza nashukuru kwa kunipa hamasa ya kuingia kwenye kilimo.
Inshallah mambo yakienda vizuri nategemea kuwa na mahindi kama gunia 800 au zaidi mwezi wa saba mwaka huu hapo Bagamoyo
Naomba kujua nitauza wapi haya mahindi?, kama wateja wapo ikifika wakati naomba tuwasiliane.
Habari wandugu,
Naomba kuuliza wana jukwaa hili, Hivi ikitokea ukapewa shillingi za kitanzania milioni 100 ukaambiwa uzifanyie biashara. Je ni biashara gani utafanya?
Hii nimeitoa CNN so nadhani ipo genuine.
Remgro, founded in 1941 by Anton Rupert, South Africa
In 1941, Anton Rupert, an Afrikaner South African businessman, started manufacturing cigarettes from his garage with a 10-pound investment. Rembrandt, the cigarette company he founded, became one...
Wandugu,
Naomba kuishauri serikali yangu sikivu kuondoa majukumu ya kujenga barabara kutoka kwenye manispaa na wampe kazi ya barabara zote hadi vichochoroni wakala wa barabara TANROADS. Tuwaongezee capacity kwa kuwapa wafanyakazi zaidi.
Hii itasaidia kupunguza ufisadi uliokithiri...
Wapenda michezo,
Mchezo wa juzi DRFA imeingiza 12m bila jasho.
Naomba kuuliza hawa DRFA wana responsibility gani kubwa ya kuwafanya wapate mgao mkubwa hivi? Je TFF inavitendea haki vyama vya michezo mikoa mingine kama Mwanza,Unguja,Singida nk kwanini huo mgao usigawanywe kwa vyama vyote...
Hawa jamaa wa Dawasco bado wanafanya kazi kwenye zama za Anolojia. Ukipiga simu kupokea hawapokei na mwishoe mtu akipokea anakupa namba ya mtu mwengine huyo mwengine nae anakuwa hapokei. As if wamekaa pamoja ofisini wanaambiana. Sasa ukisema utume barua pepe (e-mail) ndio kichefuchefu kabisa...
Wewe mdada unakuta umeshajua kesho au jioni kuna safari ya pahala fulani tena anafahamu masiku au weeks kabla lakini inafika time ya kuondoka anakuja kumalizia kupaka make ups kwenye gari. Halafu mbaya zaidi sometimes sio usiku ni mchana kweupee upo kwenye traffic wewe mwanaume una drive gari...
Habari,
Jamani naona haka kama kamekuwa ka ugonjwa. Nilianza kama utani miaka michache nyuma kumnunulia kama zawadi kwakuwa naona different different design & colors zinaleta muonekano tofauti ambayo kwangu is a turn on kwakuwa namuona kitofauti( sitaki maswali zaidi kwenye hili) lakini sasa...
Habari wandugu,
Hii barabara yetu ya Mwenge-Tegeta mbona muda unakwenda bado hatuoni matumaini. Jamaa wapo Tegeta wanajenga daraja at snails pace imeshachukua mwaka mzima. Hapo mwenge napo hata dalili ya kumalizia kile ki daraja hamna.
Pale Golden Bridge njia panda ya kawe wamejenga upande...
Habari zenu jameni,
Naomba kuuliza , hivi kuna ugonjwa wa ngozi ambao mtoto anaweza kupata ukamfanya anaamka asubuhi sehemu za nywele kichwani zimenyonyoka? Nakumbuka enzi za utoto nikienda kumtembelea bibi sometimes unaamka asubuhi sehemu fulani ya kichwa haina nywele. Je ni Mapunye ama?
Watu tupo hapa awanja wa ndege Mwalimu Nyerere Dar toka asubuhi saa tatu kwenda Mwanza safari ilitakiwa ianze saa tano hadi sasa saa saba ndege mbovu! hawa jamaa sasa wameshindwa kazi kabisaa. Precision haipo tena.
Habari wandugu,
Jamani nina siku mbili mfululizo sina umeme nyumbani kwangu. Na huwa nina mazoea ya kunua vitu vya mwezi mzima.
Hivi ninavyoongea Samaki wote waliotoka kanda ya ziwa kwishne nimetupa na nyama nayo haitamaniki. Nyanya ndio hizo nazo zinaelekeaa.
Kila nikijaribu kuwapigia...
Habari,
Naomba msaada kujua tofauti ya ENgine kati ya 1G-Fe ukilinganisha na VVti kama zote ni CC 2000.
Please naomba msaada maana nahitaji kufanya maamuzi ya haraka.
Ahsanteni sana
Habari bandugu,
Mzigo mwengine wa ivory kutoka Tanzania umekamatwa. Ningependa wahusika wajiangalie wenyewe waachie ngazi maana this is too much. Miaka ya baadae huko sisi watanzania tutalazimika kupeleka watoto wetu Dubai ili wakaone Tembo na Simba.Hii nimeikuta CNN leo.
African ivory worth...
Habari wanandugu,
Jamani mwezi huu mwishoni mwishoni nategemea kufurahia tarehe ya kuzaliwa ya mama nanihii teh teh teh. Nafahamu kuna wana darisalama wengi hapa sasa naomba msaada mnijuze wapi napata zawadi nzuri kwa ajili ya mamsap.
Naomba uzingatie kwamba kipato changu duni:happy: sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.